Team Kanembwa tukutane hapa

choconorma

JF-Expert Member
Dec 31, 2013
210
51
Tuliopangwa Kanembwa na yeyote mwenye uelewa wa JKT Kanembwa Kigoma atusaidie mazingira na hali kwa ujumla ya kambi ya Kanembwa
824KJ Kanembwa.

>usibebe vitu au nguo za thamani unaweza kuibiwa. usibebe nguo nyeupe hasa vest au under wear, zitafubaa maji sio safi.

>beba viatu/laba ngumu na soksi ndefu kabisa, usiku baridi.

>beba viwembe vingi hata 20 vya kunyolea nywele.

>beba dawa za maumivu au za kuchua kwa tahadhari tu.

>kuna vumbi sana,mafua na vikohozi ni kawaida sana so waweza beba asali kwa ajili ya koo,dawa nyingine kuna zahanati pale.

>usije jaribu kutoroka, ukiwa na shida ongea na maafande wako,pale kutoroka ni rahisi sana ila omba usikamatwe.

>ukiweza beba kijiko cha kulia msosi, watakushangaa ila ni kwa afya yako,ukinawa mikono haitakati na lile vumbi.

>mapera,mananasi,mapalachichi,machungwa,malimao yapo ila porini so ukiwa free mchana zama pori utavipata.

mengine utajua hukohuko. . kanembwa-nduta.

USISAHAU KUNYOA KIPARA MAPEMA
Okay ngoja ni wape lonja
<>Tambua ukifika cm utaikabidhi getini

<>Ucbebe mizigo mikubwa na mizito coz utabeba kichwan na ni km 5 had kufka kwenye kambi ya mazoez

<>Beba pocket money za kutosha

<>Beba tranka na kufuli imara

<>Na kama hutak kuchoka its beta ukachelewa kuripoti than kuwahi

<>Ucwe mtu wa kujaa upepo coz kuna maneno ya maudhi na karaha plus kuonewa

<>Kumbuka kusali unapopata nafasi mana hakuna muda wa kanisani wala msikitini

<>Anza kujipa mazoez nw hasa ya push up na kuruka uchura

<>Jali afya yako coz kule hamna wa kujal afya ya mwenzie

<>Ucbebe chakula chochote mana getini utanyanganywa

<>Ucbebe sahani wala kikombe mana mtapewa

<>Ucbebe camera hakuna kupga pcha kule na kwa manufaa yako beba simu ya tochi

<>Kama ni mgonjwa hasa wahaya magonjwa makubwa beba vyeti

<> Beba sabuni za kutosha na mafuta ya kutosha na dawa za mswaki.

<>Ubebe track za kutosha usiende na nguo nzur

<>Soksi beba za kutosha na kama unaweza beba hadi za kufanyia biashara

<>Jitahid ubebe raba imara hata pea tatu coz kule wanauza ghali mno

<>Ucbebe pafyum

<>Beba madaftari na peni..

Afta that welcome to 824KJ kanembwa.
 
824KJ Kanembwa.

>usibebe vitu au nguo za thamani unaweza kuibiwa. usibebe nguo nyeupe hasa vest au under wear,zitafubaa maji sio safi.
>beba viatu/laba ngumu na soksi ndefu kabisa,usiku baridi.
>beba viwembe vingi hata 20 vya kunyolea nywele.
>beba dawa za maumivu au za kuchua kwa tahadhari tu.
>kuna vumbi sana,mafua na vikohozi ni kawaida sana so waweza beba asali kwa ajili ya koo,dawa nyingine kuna zahanati pale.
>usije jaribu kutoroka,ukiwa na shida ongea na maafande wako,pale kutoroka ni rahisi sana ila omba usikamatwe.
>ukiweza beba kijiko cha kulia msosi,watakushangaa ila ni kwa afya yako,ukinawa mikono haitakati na lile vumbi.
>mapera,mananasi,mapalachichi,machungwa,malimao yapo ila porini so ukiwa free mchana zama pori utavipata.
mengine utajua hukohuko. . kanembwa-nduta.
USISAHAU KUNYOA KIPARA MAPEMA
 
Nimekusoma sana mkuu,maana maneno kibao yamezungumzwa abt kanembwa ila hapo nimekuelewa
 
usijali mkuu kanembwa pako poa sana. . matatizo ni ya kawaida ambayo nayo ni kama sehemu ya mafunzo tu... tena ukiweza kwa usalama zaidi beba tranka moja tu dogo litakusaidia japo si lazima.
 
Tranka nishauza hlf kununua tranka kixa jkt mtihan,cha mcng nabeba v2 vichache
 
Ni kubaya hatar af kuna mbu balaa na mkienda hapo kuwen majasiri kama unaumwa uclazmishwe kufanya kazi...
 
Back
Top Bottom