Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Nimeambiwa TCU wametoa majina ya watu wanaopaswa kurudia kufanya/kurekebisha application zao. Ntayapata wapi hayo majina?
Nimeambiwa TCU wametoa majina ya watu wanaopaswa kurudia kufanya/kurekebisha application zao. Ntayapata wapi hayo majina?
alie kuambia ndio akuambie yanapatikana wapi sio anakukupa taarifa nusunusu
Umeambiwa na nan,na umeambiwa lini?
Hatujatoa chochote.
Hatujatoa chochote.
kwani kama umeweza kutumia intenet uko jf umeshindwaje kuingia kwenye WESITE YA TCU ACHA UVIVU !!!!!!!!!lazima watoe kwenye website yao.