we unawaza kuandamana sasa hivi. Fanya maombi ili uchaguliwe kutokana na mtiririko wa course ulizoomba maana tcu bana.....utashangaa kukuta last option inakuwa first priority ilhali credit zinalipa ukilinganisha na competition iliopo!Jamani wanajamii hivi matokeo ya selection ya vyuo vikuu vya Tanzania wametoa ama mpaka nac wahtimu wa fom siksi tuandamane??
Ni kweli kabisa mkuu, yaani wana polojo nyingi na utekelezaji wao ni mbovu.Zile zilikua ni siasa tuu usitegemee watatoa selection mapema kama walivyojisifu ndizo siasa za kibongo mpaka kwenye education.
huyo dogo mwenyewe namshangaa...yan hajaingia hata chuo akaona jnc mambo yalivo,tayari anawaza kuandamana.we unawaza kuandamana sasa hivi. Fanya maombi ili uchaguliwe kutokana na mtiririko wa course ulizoomba maana tcu bana.....utashangaa kukuta last option inakuwa first priority ilhali credit zinalipa ukilinganisha na competition iliopo!
ndo yaliyonikuta mwenzenu last year.we unawaza kuandamana sasa hivi. Fanya maombi ili uchaguliwe kutokana na mtiririko wa course ulizoomba maana tcu bana.....utashangaa kukuta last option inakuwa first priority ilhali credit zinalipa ukilinganisha na competition iliopo!
we mwache aje awachangamshe vijana wa kova manake sasa hivi wametulia kidogo. Alafu dogo inaonekana ana mzuka na chuo sijui kapata one huyo!! Hongera sana kijana kwa kujua duty yako, endelea kufuatilia zaidi utapata jibu kamili.huyo dogo mwenyewe namshangaa...yan hajaingia hata chuo akaona jnc mambo yalivo,tayari anawaza kuandamana.
Pole sana ndugu yangu. Bora ufanyiwe hivyo alafu upelekwe kwenye chuo ambacho kuna course unayoipenda, hapo utapata mwanya wa kubadilisha lakini kama na huko haipo.....weee, utahaha ni aje!!ndo yaliyonikuta mwenzenu last year.
that real hiyo ilimtokea swahiba wangu last year.Pole sana ndugu yangu. Bora ufanyiwe hivyo alafu upelekwe kwenye chuo ambacho kuna course unayoipenda, hapo utapata mwanya wa kubadilisha lakini kama na huko haipo.....weee, utahaha ni aje!!
huyo dogo mwenyewe namshangaa...yan hajaingia hata chuo akaona jnc mambo yalivo,tayari anawaza kuandamana.
hawa wa2 cjui wakoje hawaeleweki km tanesco kwa mtaji huu nchi hii ha2tafika wa2 wanasema 1st wik ya july lkn mpaka na leo hamna ki2..dah??