TCU selection hizo!

kwa kozi za biashara vipi?

any none priority programme has less competition. But bear in mind that many students have stereotype of prefering UD to other colleges and this is what causes competitive approach to selecting them. NOTE: Public universities must have sufficient students to allow other private universities to enrole (HEARSAY).
 
Wat abt DIT, n ardhi?

Dear Freeman, truely, public universities have an alarming competition as Ardhi is overwelmed with applicants, so is DIT and the rest. But out of 40000 who sat for acsee this year, 2000 are Div 1, 9000 are Div 2 and the rest are Div 3, 4, and fld. So I hope you still have a chance.
 
Sasa mkuu mbute na chai,hayo majina ya ambao hawajachaguliwa na wanatakiwa kuaply tena,yatatoka lini!

The aim of tcu was to select all eligible applicants to avoid second round of application. In so doing, tcu is scrupulously detailing all applicants' information. If there are applicants left, few of them will be dimmed eligible for lodging in applications again. Truely they will be few when all selected and unselected applicants' names are published perhaps early next week.
 
Vp kama watu wenye 1 na 2 ni wachache walio chagua facult moja wengi wakawa mwenyewe tatu hawa taachwa au walishaachwa?
 
The aim of tcu was to select all eligible applicants to avoid second round of application. In so doing, tcu is scrupulously detailing all applicants' information. If there are applicants left, few of them will be dimmed eligible for lodging in applications again. Truely they will be few when all selected and unselected applicants' names are published perhaps early next week.

mkuu mbute na chai,let say kozi flani ilikua inahitaji watu 50,walio apply walikua 200,waliokua eligible walikua 160,walio iweka hyo koz kama 1st choice walikua 58,sasa hapo hao 58 si ndo watashndanishwa ili kuwachuja wabaki hamsini au watashndanishwa na wale wote walio andikiwa eligible no matter waliiweka kama 1st or last choice?
 
mkuu mbute na chai,let say kozi flani ilikua inahitaji watu 50,walio apply walikua 200,waliokua eligible walikua 160,walio iweka hyo koz kama 1st choice walikua 58,sasa hapo hao 58 si ndo watashndanishwa ili kuwachuja wabaki hamsini au watashndanishwa na wale wote walio andikiwa eligible no matter waliiweka kama 1st or last choice?

swali la msingi hilo!
 
Jamani naomba kuelezea kidogo jinsi mchakato wa selection inavyo fanyika.
Kwanza kila mwanafunzi alie eligible kwenye kozi aliyo omba atawekwa katika mchakato wa kuchaguliwa Mfano alivyo uliza perry hapo juu ni kua all 160 applicants wataingizwa kwenye mchakato wa kuchaguliwa,The best 50 watakao chaguliwa watakaa pembeni, then mchakato ukiisha kwa kila kozi sasa wanaangalia kwenye kozi ulizo omba je kwenye 1st choice umo? kama ni ndio zile 7 zilizo baki zinakua canceled, mfano kama umekua selected in all 8 programs, 7 zikiwa canceled kutakua na gape yaani mfanp kulikua na watu 50 watabaki 49 then best of all kati ya wale 110(160 eligible toa 50 selected) walio baki ataingizwa then mchakato utaendelea mpaka all eligible applicants waishe.
Mfano Kuna mtu ana I.9 alichagua 1st LAW UDSM bahati mbaya hiyo kozi walio weka 1st choice walikua 60 na kati ya hao 60 55 wako kati ya I.3 hadi I.8 so wakichukuliwa best 50 mwenye I.9 ataachwa na kuja kushindanishwa katika 2nd choice ambayo let's say wenye I wako wachache na yeye ni the best of all sasa hapo atakua wa kwanza kuchaguliwa HII itaenda hivyo hivyo mpaka choise ya 8 iktokea kote umetoka knockout ndo umekosa chuo hivyo.....
IKUMBUKWE KUA PROCESS YOTE HII INAFANYWA NA COMPUTERIZED SYSTEM CHINI YA UANGAIZI WA WAHADHIRI WA CHUO HUSIKA
KAMA UNASWALI ULIZA.
 
Dah Mbute na chai you rock bro!

user-offline.png
Mbute na chai
Join Date : 21st July 2012
Posts : 39
Rep Power : 310
Likes Received:4
Likes Given:0
You_Dont_Say
 
swali la msingi hilo!

Kila chuo huanza na walioaplai first choice kwa kila coz kama walio 1st choice eligible wanazidi admission capacity wanashindanishwa kwa njia ya ufaulu. Hivyo kama 1st choice ya mko pungufu ukilinganisha na idadi hitajika, umechaguliwa kama ulimeet admission requirements.
 
Vp kama watu wenye 1 na 2 ni wachache walio chagua facult moja wengi wakawa mwenyewe tatu hawa taachwa au walishaachwa?

Mambo ya 1, 2, au 3 huja baada ya first choice applicants kuzidi admission capacity na kupelekea kuchaguliwa kwa ushandani wa ufaulu badala ya kigezo cha eligibility to the set admission requirements.
 
Jamani naomba kuelezea kidogo jinsi mchakato wa selection inavyo fanyika.
Kwanza kila mwanafunzi alie eligible kwenye kozi aliyo omba atawekwa katika mchakato wa kuchaguliwa Mfano alivyo uliza perry hapo juu ni kua all 160 applicants wataingizwa kwenye mchakato wa kuchaguliwa,The best 50 watakao chaguliwa watakaa pembeni, then mchakato ukiisha kwa kila kozi sasa wanaangalia kwenye kozi ulizo omba je kwenye 1st choice umo? kama ni ndio zile 7 zilizo baki zinakua canceled, mfano kama umekua selected in all 8 programs, 7 zikiwa canceled kutakua na gape yaani mfanp kulikua na watu 50 watabaki 49 then best of all kati ya wale 110(160 eligible toa 50 selected) walio baki ataingizwa then mchakato utaendelea mpaka all eligible applicants waishe.
Mfano Kuna mtu ana I.9 alichagua 1st LAW UDSM bahati mbaya hiyo kozi walio weka 1st choice walikua 60 na kati ya hao 60 55 wako kati ya I.3 hadi I.8 so wakichukuliwa best 50 mwenye I.9 ataachwa na kuja kushindanishwa katika 2nd choice ambayo let's say wenye I wako wachache na yeye ni the best of all sasa hapo atakua wa kwanza kuchaguliwa HII itaenda hivyo hivyo mpaka choise ya 8 iktokea kote umetoka knockout ndo umekosa chuo hivyo.....
IKUMBUKWE KUA PROCESS YOTE HII INAFANYWA NA COMPUTERIZED SYSTEM CHINI YA UANGAIZI WA WAHADHIRI WA CHUO HUSIKA
KAMA UNASWALI ULIZA.

ebu pitia maelezo ya mbute na chai hapo chin mkuu,me naona kama yeye ndio yuko sahihi.
 
ebu pitia maelezo ya mbute na chai hapo chin mkuu,me naona kama yeye ndio yuko sahihi.

Mkuu haya maelezo sijajitungia, ila yametoka direct from TCU, kama una 2012/2013 Guide Book hebu pitia utaona, japokua wameelezea kwa kifupi sana
 
Back
Top Bottom