DOKEZO TCU na TAKUKURU itazameni rushwa iliyotawala Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Hot bird

Member
Jan 18, 2021
56
100
Ninaandika mambo haya kwa masikitiko kutokana na mustakabali wa elimu ya nchi inavyoharibiwa na baadhi ya viongozi kutojali.

Leo nitatoa habari za hali ya rushwa na kutojali ubora wa elimu iliyotawala SUA, hiki ni chuo kikuu kilichopo hapa Morogoro, chenye kampasi kuu Magadu na kitivo kingine kipo Mazimbu.

Katika mtalaa wao wa masomo wa mwaka 2020 na kuendelea, mwanafunzi akifeli mitihani ya supplementary ataruhusiwa kufanya upya mtihani wa kozi husika hii inaitwa “third attempts” ila akifeli hapo ndio anakuwa amedisco.

Sasa cha kusikitisha kuna wanafunzi kadhaa wa kozi za Ualimu Chemistry na Biology (ECB) wamefanya hiyo mitihani ya “third attempts” na wamefail ila bado wameendelea na chuo huku wenzao waliofail wakidisco. Hii imeulizwa sana kwa watawala hapa college ila hakuna majibu ni kama wameziba masikio.

Mitihani hiyo ni CHE100 na ZOO (hizi ZOO ni nyingi)
Nimeamua kuileta hapa maana tunasikia kuna watu wamekula pesa kucheza na elimu hapa chuo, hata ukitoa taarifa hakuna anayefanyia kazi. Haya mambo yametawala sana hapa Mazimbu kuliko kule Magadu ilipo kampasi kuu, japo kule yapo pia ila hawachezi na mitihani wale jamaa.

TCU na TAKUKURU fatilieni haya mambo, inaumiza kuona kuna watu wanapeta bila kupingwa kisa ukabila, udini na rushwa, yaani mwanafunzi kufahamiana na lecture tu hapo uhakika wa kupata A upo, sio fair aisee.

Mimi ninafanya kazi hapahapa chuoni japo sijaajiriwa na serikali wala SUA, ila ni staff kwenye kazi yangu hapahapa, hivyo nimeandika nilichokiona kwa macho yangu lakini mkiona taarifa yangu haina ukweli njooni muhakikishe.

NB: Mkitaka majina ya wahusika yaani hao wanafunzi nitawapa hapahapa, situmii PM, ila nimeshawatajia kozi husika angalieni mtapata ukweli.

Leo nimetoa taarifa hii, kuna ushahidi nakusanya jinsi elimu inavyochezewa hapa chuoni huku TCU na Wizara ya Elimu zikidanganywa, hii nitaileta baada ya wiki toka leo.
 
Acha roho mbaya kuwasagia wenzio kunguni. Kibinadamu huwezi kumtupa/kumuacha mwanafunzi alitefikisha GPA ya 2 na credit hours 80 kwenye overall results ya mwaka mzima eti kisa third attempts. Hao waliachwa walifeli kabisa.

Kikubwa wewe soma kwa nafasi yako faulu then uamshe zako. Ajira zenyewe hamna za kutosha unataka wafelishe watu kihivyo kwanini?

Actually, mifumo ya academically kwa SUA ni migumu mno. Hivyo muda mwingine uongozi unaamua kutumia busara tu.
 
Acha roho mbaya kuwasagia wenzio Kunguni.. Kibinadamu huwezi kumtupa/kumuacha mwanafunzi alitefikisha GPA ya 2 na Credit hours 80 kwenye Overall results ya mwaka mzima eti kisa Third Attempts.. hao waliachwa walifeli kabisa.
Kikubwa wewe soma kwa nafasi yako faulu then uamshe zako.
Ajira zenyewe hamna za kutosha unataka wafelishe watu kihvyo kwann..?
Actually mifumo ya academically kwa SUA ni migumu mno. Hvyo muda mwingine Uongozi unaamua kutumia busara tu
Mifumo ya SUA ni migumu kivipi mkuu?
 
Actually,Sua is overrated.
Ipo siku tutajua ukweli wote,ni suala la muda tu.
Nasubiri uliposema baada ya wiki utaleta info jinsi wanavyocheza na elimu.
Mimi nina taarifa kadhaa,kama zitakua hizo nitasema kitu,ila haya uliyoandika yatakua na ukweli,kwa kuwa Sua ya sasa inajulikana ukanjanja wake.

Vipi yule mama aliyegawa UE na marks wa kemia yupo hapo bado?,alikua anafundisha chemistry of natural products,aligawa marks akasahau mwanafunzi husika hakufanya UE mwisho takukuru wakadaka habari.
Nasikia baada ya hapo akazawadiwa uprofesa,kama ni kweli SUA ijitafakari!
Wakuu amani iwe nanyi.

Ninaandika mambo haya kwa masikitiko kutokana na mustakabali wa elimu ya nchi inavyoharibiwa na baadhi ya viongozi kutojali.

Leo nitatoa Habari za hali ya rushwa na kutojali ubora wa Elimu iliyotawala SUA,hiki ni chuo kikuu kilichopo hapa Morogoro,chenye kampasi kuu magadu na kitivo kingine kipo mazimbu.

Katika mtaaala wao wa masomo wa mwaka 2020 na kuendelea,mwanafunzi akifeli mitihani ya supplementary ataruhusiwa kufanya upya mtihani wa kozi husika hii inaitwa “third attempts” ila akifeli hapo ndio anakuwa amedisco.

Sasa cha kusikitisha kuna wanafunzi kadhaa wa kozi za ualimu chemistry na biology (ECB) wamefanya hiyo mitihani ya “third attempts” na wamefail ila bado wameendelea na chuo huku wenzao waliofail wakidisco,hii imeulizwa sana kwa watawala hapa college ila hakuna majibu ni kama wameziba masikio.

Mitihani hiyo ni CHE100 na ZOO (hizi ZOO ni nyingi).

Nimeamua kuileta hapa maana tunasikia kuna watu wamekula pesa kucheza na Elimu hapa chuo,hata ukitoa taarifa hakuna anayefanyia kazi, haya mambo yametawala sana hapa mazimbu kuliko kule magadu ilipo kampasi kuu, japo kule yapo pia ila hawachezi na mitihani wale jamaa.

TCU na TAKUKURU fatilieni haya mambo,inaumiza kuona kuna watu wanapeta bila kupingwa kisa ukabila,udini na rushwa, yaani mwanafunzi kufahamiana na lecture tu hapo uhakika wa kupata A upo,sio fair aisee.

Mimi ninafanya kazi hapahapa chuoni japo sijaajiriwa na serikali wala sua, ila ni staff kwenye kazi yangu hapahapa, hivyo nimeandika nilichokiona kwa macho yangu lakini mkiona taarifa yangu haina ukweli njooni muhakikishe.

NB: Mkitaka majina ya wahusika yaani hao wanafunzi nitawapa hapahapa, situmii pm, ila nimeshawatajia kozi husika angalieni mtapata ukweli.

Leo nimetoa taarifa hii, kuna ushahidi nakusanya jinsi Elimu inavyochezewa hapa chuoni huku TCU na wizara ya Elimu zikidanganywa, hii nitaileta baada ya wiki toka leo.
 
Actually,Sua is overrated.
Ipo siku tutajua ukweli wote,ni suala la muda tu.
Nasubiri uliposema baada ya wiki utaleta info jinsi wanavyocheza na elimu.
Mimi nina taarifa kadhaa,kama zitakua hizo nitasema kitu,ila haya uliyoandika yatakua na ukweli,kwa kuwa Sua ya sasa inajulikana ukanjanja wake.

Vipi yule mama aliyegawa UE na marks wa kemia yupo hapo bado?,alikua anafundisha chemistry of natural products,aligawa marks akasahau mwanafunzi husika hakufanya UE mwisho takukuru wakadaka habari.
Nasikia baada ya hapo akazawadiwa uprofesa,kama ni kweli SUA ijitafakari!
Vyuo vyetu vikuu vimekuwa ni hovyo vyote! Hata UD ni uchafu tu! Unakuta badala ya taaluma wako bize kusikiliza m/kiti wa CCM anaaagiza nini. Viongozi wa vyuo vikuu wapo-wapo tu, vichwani wanawaza kusifiwa na wanasiasa badala ya ku-challenge maovu ya siasa na nchi. Wanahangaika kuficha udhaifu ili waendelee kushika nafasi.

Eti UD Mkandara alifikia hatua ya kufukuza mwanafunzi kwa sababu hakubali mambo yake! Tukanyamaza matokeo yake waliomaliza vyuo kwa mfumo dhaifu huo leo ni waajiriwa! Ndo hao sasa wanafanya haya!
 
Acha roho mbaya kuwasagia wenzio kunguni. Kibinadamu huwezi kumtupa/kumuacha mwanafunzi alitefikisha GPA ya 2 na credit hours 80 kwenye overall results ya mwaka mzima eti kisa third attempts. Hao waliachwa walifeli kabisa.

Kikubwa wewe soma kwa nafasi yako faulu then uamshe zako. Ajira zenyewe hamna za kutosha unataka wafelishe watu kihivyo kwanini?

Actually, mifumo ya academically kwa SUA ni migumu mno. Hivyo muda mwingine uongozi unaamua kutumia busara tu.
Hao mabwege wa sasa hawasomi wanajifanya mabrother men na masista du then wanakuja huku kuchafua watu. Kudisco haikuamza leo tena bora yenu passing mark sijui 21 au 31 then mna carry na kulalamika. Tuliosoma kipindi cha nyuma kabla semister system ndio tunajua ugumu wa SUA. Hao wa sasa hakuna kitu na wanaleta majungu humu.
 
Back
Top Bottom