Tatizo sio gharama. Nape hataki chombo chochote kioneshe Bunge live!!! Sidhani kama Magufuli yuko hivyo. Sidhani kama anapenda kuficha uchafu! Ngoja tusubiri.ITV, Azam?
Bora na jioni tuendelee kufatilia live. Wasitunyanyase kiasi hichoChenge amehairisha bunge kuruhusu kamati kujadili TBC kurusha bunge live baada ya upinzani kuhoji uhalali na busara zilizotumika kufikia uamuzi huu.
Kwamba gharama ta kurusha live ni kubwa, hivyo watarekodi na kurushwa kuanzia saa nne usiku. Live itakuwa asubuhi tu kipindi cha maswali na majibu. Na Star TV nao...
Kama information zote zinapatikana kupitia TBC, basi watakuwa wametukomesha, lakini kama kuna njia nyingine ya kupata information, wamechemsha. Mbona hapa nilipo napata habari za bungeni kama kawa!itv
whazap zipo tutaona tuu
hihihihihihiih ccm ni ileile haina mbinu mpya,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, reginald mengi yupo ajili yetu sisi wazalendo tutaona mpaka huku kwetu nanjilinjiUpinzani wa 2015-2025 hauna capacity wala ability ya ku challenge utawala wa Mpya wa CCM 2015-2025!
Barbosa najua unaweza kufikiri zaidi ya hapo, too sad kuwa umeamua kuchagua upande wa kitu/MTU na wala Si upande hoja/misingi.Tatizo siyo gharama amesema hivyo ili wavivu msilalamike lkn sababu hasa ni kwamba huu ni muda wa kazi na siyo wa kuangalia luninga, hivyo fanyeni kazi na Bunge mtaliona jioni baada ya kazi au wkend!
wala haitaathiri kitu tbc walikuwa wanaonyesha documentary wakati wa mambo ya msingi kitaifa yakiendelea, mi sijaona pengo lolote, wala hawajaanza leo kutokuonyesha so hakuna kilichopotea vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa napeKama information zote zinapatikana kupitia TBC, basi watakuwa wametukomesha, lakini kama kuna njia nyingine ya kupata information, wamechemsha. Mbona hapa nilipo napata habari za bungeni kama kawa!
Sasa hizo pesa za kulipia vipindi vya bunge nadhani ni sehemu ya kodi zetu swali langu ni kuwa je TBC hawapati ruzuku toka serilkalini au nayo imebinafsishwa kama UDA ,na kama wanapata sasa kigugumizi cha nini wakati wananchi ndio wanaiwezesha ? Kuna baadhi ya vipindi havina manufaa kwa jamii na wanavionyesha huwa vinagharamiwa na nani ,au ndo hawataki wananchi waone mawaziri mizigo wakichambuliwa ?
Sasa hiyo ability ya utawala wa CCM 2015-2020 waiache tuione live jinsi wanavyoweza kupangua hoja. Wanaogopa nini?Upinzani wa 2015-2025 hauna capacity wala ability ya ku challenge utawala wa Mpya wa CCM 2015-2025!
hujaelewa umekurupuka acha ukichaa unadhan bunge peke yake ndio linamfanya mtu ashindwe kufanya kazi huna unachojuaSafi sana hiki kilikuwa ni kilio changu siku zote, Watu wafanye kazi na waache kuangalia Bunge, mkirudi nyumbani jioni baada yakazi mtaangalia Bunge tani yenu au kama mmechoka hata wkend!
Safi sana W. Nape!