..........
That goal must be achieved by all means even by killing innocent people.....
Pole sana Bwana Kishongo, ushabiki wako unakufanya usiwe na akili ya kufikiri. Polisi wamepiga marafuku maandamo kwa sababu eti taarifa za 'kiintelijensia' thats all!! je sababu hiyo ina mashiko kweli? Kama ni kweli kwa nini wasingeanika uovu huo wa chadema publically ili wananchi tujue uovu wa chadema? I totally disagree with you that chadema disobey a lawful order. And for you information that order was politically motivated.The source is a bunch of opportunistic armature politicians who incited their followers to disobey a lawful order.
Their evil agenda is to gain political and financial mileage by exploiting disadvantaged youth.
That goal must be achieved by all means even by killing innocent people.
I hope now you know!
Wameonyesha sehemu ambazo zinawasupport kuwa kwa nini walizuia maandamano yale.
- Wameeleza kuwa sababu moja ya kuzuia maandamano yale ni barabara ambazo yale maandamano yangepitia ni muhimu na hivyo kama ingetokea vurugu basi madhara yake yangekuwa mabaya na yangeweza kusambaa mji mzima.
pongezi nyingi kwa tbc kwa kutuonyesha ukweli halisi kwa matukio yalio tokea arusha....
Ndessamburo ni mzee mwenye hulika za kihuni, uwezi sema eti nchi haiwezi tawalika kisa umepingwa mabomu... Ulipo sema unawataka viongozi walio kamatwa uwanjani kabla ya kumalizika kwa mkutano ulikuwa una maanisha kitu gani kwa wahuni wa arusha?
Pongezi nyingi kwa jeshi la polisi kwa hatua walizochukua ndio ilikuwa stahili yao.
The source is a bunch of opportunistic armature politicians who incited their followers to disobey a lawful order.
Their evil agenda is to gain political and financial mileage by exploiting disadvantaged youth.
That goal must be achieved by all means even by killing innocent people.
I hope now you know!
scum
Nimeangalia, pamoja na kuficha mengine, bado wanachi wanatakiwa kutii vyombo vya dola, iwe dola ya ccm au chadema au cuf au ppt. kumbuka wao wanaenda na wamelelewa kufanya kazi kwa amri, na ukizingatia mawe yalirushwa kuwashambulia police, hata hasira za kawaida zingemfanya mwanadamu huyu aliyevaa kombati apige! ndio
TBC ni genge la wahuni ambao wanatumiwa na rais Mwizi hawapo kwa maslahi ya Watanzania bali Mafisadi. swala hilo walitakiwa kulifanyia coverage LIVE sio kuja na propaganda. Anyway waacheni wajisumbue kwa sababu Watanzania wamekwisha amka wao wanachukua shuka asubuhi.
Hivi TBC leo wamekuwa genge la wahuni? Kwa nini watu Wachadema hampendi kuambiwa ukweli?
Hatuwezi kufika popote kwa style hii.
Hivi TBC leo wamekuwa genge la wahuni? Kwa nini watu Wachadema hampendi kuambiwa ukweli?
Hatuwezi kufika popote kwa style hii.
si kutegeme kama na wewe unaweza kupongeza uhuni wa jeshi la polisi. Kwa nini mwema asituambie hiyo intelijesia? Ili tuwe na uhakika anachokisema?pongezi nyingi kwa tbc kwa kutuonyesha ukweli halisi kwa matukio yalio tokea arusha....
Ndessamburo ni mzee mwenye hulika za kihuni, uwezi sema eti nchi haiwezi tawalika kisa umepingwa mabomu... Ulipo sema unawataka viongozi walio kamatwa uwanjani kabla ya kumalizika kwa mkutano ulikuwa una maanisha kitu gani kwa wahuni wa arusha?
Pongezi nyingi kwa jeshi la polisi kwa hatua walizochukua ndio ilikuwa stahili yao.
MuhayaHuna hoja.. Kaa kimya
otherwise CDM weka matukio yote ya Arusha kwenye CD bila kuedit.