Ibra Mo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 793
- 101
Nimeona Tangazo TBC kwamba kutakuwa na kipindi Maalumu saa 2:30usiku kuhusu kilichotokea Arusha.
Naamini ni habari wanayotaka kutulisha baada yakufanya editing yakutosha ili kuhalalisha Mauaji waliyoyafanya Arusha.Wadau tufuatilie mida hiyo natutoe Tathmini zetu juu ya Uhalisia wake.
Naamini ni habari wanayotaka kutulisha baada yakufanya editing yakutosha ili kuhalalisha Mauaji waliyoyafanya Arusha.Wadau tufuatilie mida hiyo natutoe Tathmini zetu juu ya Uhalisia wake.