Hamna ukweli wowote hata Kichaa hawezi kukubaliana na huu Usanii:Kwenye Taarifa za Habari 2lishuhudia Jinsi Askari walivyo vamia lile Gari nakuanza kuponda Virungu vioo hadi dereva alipoamua kuchomoa Gari kusalimisha Usalama wake hapo tunaonyeshwa picha Mgando ya Gari tu,Huu ni Upuuzi mwingine kama Puuzi tulizo zizoea.
Hamna ukweli wowote hata Kichaa hawezi kukubaliana na huu Usanii:Kwenye Taarifa za Habari 2lishuhudia Jinsi Askari walivyo vamia lile Gari nakuanza kuponda Virungu vioo hadi dereva alipoamua kuchomoa Gari kusalimisha Usalama wake hapo tunaonyeshwa picha Mgando ya Gari tu,Huu ni Upuuzi mwingine kama Puuzi tulizo zizoea.
Sirikalihivi TBC ni chombo cha serikali au wananchi?
Wameonyesha sehemu ambazo zinawasupport kuwa kwa nini walizuia maandamano yale.Sijakiona kipindi umeme metii;Kipi jipya labda kwa mtazamo wako ewe uliekiona hicho maalum kipindi?!
Natamani kuu............................:Cry:fc TBC
Nikweli polisi waliua watu halina ubishi lakini vipi na kauli za akina slaa kuhusu uvamizi?
Wameonyesha sehemu ambazo zinawasupport kuwa kwa nini walizuia maandamano yale.
Hayo ndiyo makuu waliyoyaonyesha na mahojiano sehemu kadhaa ya viongozi wa polisi akiwemo Andengenye na Mgonja.
- Wameeleza kuwa sababu moja ya kuzuia maandamano yale ni barabara ambazo yale maandamano yangepitia ni muhimu na hivyo kama ingetokea vurugu basi madhara yake yangekuwa mabaya na yangeweza kusambaa mji mzima.
- Ndesamburo alipokuwa anasema JK Ndesamburi kweli nimepigwa na vijaa wako basi naona huzijui vurugu za Ndesamburo. Pia walionuesha sehemu ambayo Dr. Slaa akisema wakiamua nchi hii wakiamua isitawalike wanaweza na haitatawalika. Zaidi ya yote ni ile kauli ya Dr Slaa kuhamasisha wafuasi wake waende kituo cha polisi kuwaoa viongozi na watu waliokamatwa na polisi
- Mwisho na mapambano yalivyokuwa lengo kati ya wafuasi wa CDM na polisi bila kuacha jengo la CCM lilivyoharibiwa.
Wameonyesha sehemu ambazo zinawasupport kuwa kwa nini walizuia maandamano yale.
Hayo ndiyo makuu waliyoyaonyesha na mahojiano sehemu kadhaa ya viongozi wa polisi akiwemo Andengenye na Mgonja.
- Wameeleza kuwa sababu moja ya kuzuia maandamano yale ni barabara ambazo yale maandamano yangepitia ni muhimu na hivyo kama ingetokea vurugu basi madhara yake yangekuwa mabaya na yangeweza kusambaa mji mzima.
- Ndesamburo alipokuwa anasema JK Ndesamburi kweli nimepigwa na vijaa wako basi naona huzijui vurugu za Ndesamburo. Pia walionuesha sehemu ambayo Dr. Slaa akisema wakiamua nchi hii wakiamua isitawalike wanaweza na haitatawalika. Zaidi ya yote ni ile kauli ya Dr Slaa kuhamasisha wafuasi wake waende kituo cha polisi kuwaoa viongozi na watu waliokamatwa na polisi
- Mwisho na mapambano yalivyokuwa lengo kati ya wafuasi wa CDM na polisi bila kuacha jengo la CCM lilivyoharibiwa.
Mfano kauli za slaa na ndesa kuwataka watu kuvamia kituo cha polisi nk
Nikweli polisi waliua watu halina ubishi..................
ishia hapohapo!!
Na hapo ndo mtajua kuwa hatutawaliki tena WaTz kwa mtindo huo