Tbc tbc tbc!

ITV wameonyesha mkuu, labda ukiwa unamaanisha mchana kama breaking news


Samahani sana wakuu,

Nilianza kutazama habari TBC1 na nilivyoweka ITV nilikuta wanatoa ropoti za Bunge....

Sikuwa na nia mbaya na ITV...

Hata hivyo TBC1 nao wametoa taarifa hiyo mwishoni mwa habari za kitaifa!
 
Jamani nimeangalia televisheni yetu hii ya serikali, kwani inachukua ruzuku kutoka serikalini, fedha ya kila mwananchi mlipa kodi. Cha kushangaza! Habari iliyovuta watu wengi, umma kwa ujumla ya kutekwa kwa dr. Na kukutwa mahututi katika msitu wa magwe pande. Haikuwa ni issue. Hivi wanahabari na umma kwa ujumla mnalionaje hili? Wangeitoa tuu kwani kwani ingekuwaje..............basi tu.

Wameitoa mkuu na Nchimbi kaahidi kuingelea vizuri saa 4 usiku huu
 
Kuna mambo muhimu mengi yametangazwa nafasi ya muda haijatosha subirini taarifa ya saa 4 au kesho asbh au labda keshokutwa inaweza pata nafasi
 
TBC ndo wanaonyesha sasa hivi tena habari ya mwisho kwenye habari za kitaifa shame on Tbc
 
I'm sick and tired of this thing called TBC, hivi hakuna mambo mengine ya kuongelea zaidi ya TBC, tunajua ni TV ya chama cha mananihii na wala hatuhitaji kujiuliza mara mbili mbili. Mods, punguzeni huu utitiri wa threads zinazohusu tv mfu!!!!
 
tbc ni Dhaifu na ccm ni Dhaifu, na Serikali ni DHAIFU, inataka kuondoa amani ya Nchi yetu, na Inajiandalia KABURI. R.I.P CCM
Hakuna taarifa yoyote kuhusu taarifa za uharamia aliofanyiwa dr. Ulimboka, hii inamaanisha nini wadau? nafikiri ni majibu tosha kuwa hii serikali dhaifu na ya kidhalimu inahusika moja kwa moja, Mungu mbariki dr. apone.
 
habari muhimu ni kumuonyesha pinda akitema pumba bungeni, yana mwisho!?.

kila habari ina umuhimu wake iwe ya kwanza au ya mwisho.... Zile sio pumba ni vitu vya msingi sana kwa tz wenye uchungu na ndugu zao wanao kufu kutokana na uchu wa fedha wa hawa madaktari..... Tunamuombe apone ili aje atoe ushuhuda wa kifo huwa kinakuwaje mana wanaona furaha ndugu zetu kufa kwa migomo yao ya kisiasa
 
lazima???!!kumuonyesha mwacheni asikilizie maumivu ambayo mgonjwa huwa anahisi na laiti asingetibiwa kwa kuwa ma doctor wana mgomo ingekuwa poa zaidi,ili tu mujue ni maumivu ya kiasi gani hupata hao wagonjwa??!!
 
tbccm kwani hamuwajui.....mie kuna mama wa tbccm nasoma nae chuo kimoja hapa mjini anaona hata aibu kusema anafanyakazi hapo inabidi adanganye ni mjasiria mali
 
Watu mnamachungu sana wacheni Dr apate nafuu kila kitu kitajulikana tu!
 
Watu mnamachungu sana wacheni Dr apate nafuu kila kitu kitajulikana tu!
na wenye wagonjwa hospitalini na kukosa tiba wanamachungu zaidi,wewe unasubiri mwenzako kupata nafuu,wakati wenzako wanasubiri mda wa mgonjwa wao kufa!,uko wapi ubinaadamu hapo?!!,kisa mgomo wenu
ni mda wa chakueleweka kieleweke sasa kabla ya 2015!
 
Back
Top Bottom