Hili ni jambo la kushangaza sana hv kweli TBC mnashindwa kurusha habari hii badala yake mnaonyesha ngonjera za bungeni?ss wananchi sasa imefika mahala tunasema basi maana mnapotosha uma watu tuwafikirie vipi??
Siyo TBC tu bali hata ITV. Hakuna TV ya Tanzania inayoweza kurusha habari kama hii na ikabaki salama!
Itv wamerusha vizuri tena mda mrefuSiyo TBC tu bali hata ITV. Hakuna TV ya Tanzania inayoweza kurusha habari kama hii na ikabaki salama!
Siyo TBC tu bali hata ITV. Hakuna TV ya Tanzania inayoweza kurusha habari kama hii na ikabaki salama!
Siyo TBC tu bali hata ITV. Hakuna TV ya Tanzania inayoweza kurusha habari kama hii na ikabaki salama!
Ni lazima kurasha hiyo habari ya dr.ulimbuka ziko habari za msingi hiyo si kipaumbele... Tunamuombea apone ili aje ahadithie kifo kikojo ,,kwani wao wanaona utamu ndugu zetu kufa kwa migomo yao ya kishenzi tu.