You have a point mkuu, nilishaiweka kwenye ignore list!ni ujinga kuendelea kuangalia TBC ukitegemea taarifa za kweli.
kwamba huduma ya afya hospitali za serikali yaendelea kuimarika na huku tamko la madkatari bigwa ni kuendelea kugoma?
utafiti umeufanyia mabwe pande
Hiyo ni Muhimbili ya wapi?
Tunashukuru Madakatari wetu kwa kurudi kazini kuendelea na kazi kutibu Watanzania wenzetu.