Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Jamani huu upuuzi mpaka lini??
Jamani huu upuuzi mpaka lini??
kwamba huduma ya afya hospitali za serikali yaendelea kuimarika na huku tamko la madkatari bigwa ni kuendelea kugoma?
ni ujinga kuendelea kuangalia TBC ukitegemea taarifa za kweli.
Na ulaaniwe na akili yako hii ya kitumwa. Siku zenu zimekwisha na mtateseka sana na TBC yenu na hao watangazanji wenu vibaraka wa wauajiMadaktari walio kuwa likizo wamerudi kazini na wanachapa mzigo huko sio kuimarika? Acha kuwa kibaraka wa cdm wanaochochea mgomo na kutaka kumuua ulimboka
Madaktari walio kuwa likizo wamerudi kazini na wanachapa mzigo huko sio kuimarika? Acha kuwa kibaraka wa cdm wanaochochea mgomo na kutaka kumuua ulimboka
Na ulaaniwe na akili yako hii ya kitumwa. Siku zenu zimekwisha na mtateseka sana na TBC yenu na hao watangazanji wenu vibarakaMadaktari walio kuwa likizo wamerudi kazini na wanachapa mzigo huko sio kuimarika? Acha kuwa kibaraka wa cdm wanaochochea mgomo na kutaka kumuua ulimboka
Madaktari bingwa wametoa tamko kwamba wamegoma, TBC1 wanadai hali imeimarika! Kweli Tanzania ya Dhaifu ni zaidi ya uijuavyo! Au wamemchukua yule aliyekuwa waziri wa habari wa Saadam, Alsahaf, a.k.a "Comical" Ally kuwa mkurugenzi mkuu wa TBC!
kwamba huduma ya afya hospitali za serikali yaendelea kuimarika na huku tamko la madkatari bigwa ni kuendelea kugoma?