TBC: Huduma hospital Dar zaendelea kuimarika

kwamba huduma ya afya hospitali za serikali yaendelea kuimarika na huku tamko la madkatari bigwa ni kuendelea kugoma?
 
Katika taarifa yake tbc wanadai hali ya huduma katika hospitali zimeanza kutengemaa, wakati ktk tv station tukioneonesha madaktari bingwa wakitangaza mgomo.
 
ni ujinga kuendelea kuangalia TBC ukitegemea taarifa za kweli.
 
kwamba huduma ya afya hospitali za serikali yaendelea kuimarika na huku tamko la madkatari bigwa ni kuendelea kugoma?

Madaktari walio kuwa likizo wamerudi kazini na wanachapa mzigo huko sio kuimarika? Acha kuwa kibaraka wa cdm wanaochochea mgomo na kutaka kumuua ulimboka
 
Na yule dokta aliyekuwa anaongea Muhimbili nje aliyeoneshwa walimbandika maneno? huna haya?
 
Madaktari walio kuwa likizo wamerudi kazini na wanachapa mzigo huko sio kuimarika? Acha kuwa kibaraka wa cdm wanaochochea mgomo na kutaka kumuua ulimboka
Na ulaaniwe na akili yako hii ya kitumwa. Siku zenu zimekwisha na mtateseka sana na TBC yenu na hao watangazanji wenu vibaraka wa wauaji
 
Madaktari bingwa wametoa tamko kwamba wamegoma, TBC1 wanadai hali imeimarika! Kweli Tanzania ya Dhaifu ni zaidi ya uijuavyo! Au wamemchukua yule aliyekuwa waziri wa habari wa Saadam, Alsahaf, a.k.a "Comical" Ally kuwa mkurugenzi mkuu wa TBC!
 
Watu wengine huwa wanaudhi sana CDM inahusika vipi na mgomo wa madaktari? Ukiwa mwendawazimu siku zote utatangulizwa chini, kauli hizi ni za kichochezi. Waacheni wafe na ujue zamu yako kesho. Vibaraka wa serikari dhaifu mnakera sana.
Watu wanakufa kwa sababu yenu, mmejaa uongo, unafiki, mnadanganya taifa!! Mjue uongo unamwisho na hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho
 
Madaktari walio kuwa likizo wamerudi kazini na wanachapa mzigo huko sio kuimarika? Acha kuwa kibaraka wa cdm wanaochochea mgomo na kutaka kumuua ulimboka
Na ulaaniwe na akili yako hii ya kitumwa. Siku zenu zimekwisha na mtateseka sana na TBC yenu na hao watangazanji wenu vibaraka
 
Hizi siyo enzi za kudanganyana. Kuna njia na namna nyingi za kupata habari. Ukiudanganya umma, utaumbuka tu!
 
Wakati tukisikia kwamba madaktari bingwa wamegoma tbc bila aibu wanasema hali imezidi kuimarika, mnamdanganya nani na kwa maslahi ya nani?
 
Breaking Nuuuuuuuuuz:





JULAI 2, 2012


Huduma katika Hospitali ya Taifa Muhimbili zimerejea katika hali ya kawaida baada ya Madaktari kurejea kazini Jumatatu ya leo Julai 2, 2012.


Tathimini iliyofanyika kuanzia asubuhi saa mbili hadi saa 11 jioni inaonyesha kuwa katika Idara ya Tiba, Madaktari Bingwa 19 kati ya 21 wamefika kazini ambapo watatu wako likizo. Aidha Registrars wote 12 walikuja kazini. Kliniki zote za tiba zimefanyika kama kawaida.


Katika Idara ya watoto, yenye Madakatari Bingwa 16, kati yao 14 walikuja kazini wengine wawili wako likizo na Registrar watatu kati ya sita walikuja kazini ambapo watatu wako likizo


Upande wa OPD yenye Registrars saba, sita kati yao walikuja kazini na mmoja yuko likizo. Aidha Madaktari Bingwa wote walikuja kazini.


Idara ya Magonjwa ya Afya ya Akili yenye Madakatri Bingwa 10, tisa walikuja kazini na mmoja wao yuko masomoni.


Upande wa Emergency Medicine, Registrars wote 10 walikuja kazini.


Kuhusu huduma za upasuaji, wagonjwa wote waliolazwa wodini wameonwa, na baadhi ya kliniki za huduma ya upasuaji zilifanyika. Hata hivyo, upasuaji haukufanyika kwani hakukuwa na orodha ya wagonjwa waliopangwa kufanyiwa upasuaji..


KWA UJUMLA, MADAKTARI WAMEREJEA KAZINI.


Imetolewa na;




Aminiel Buberwa Aligaesha
Afisa Uhusiano Mwandamizi
Julai 2, 2012
4.jpg
 
Najuuuuuuuuuta Kuangalia TBC1
Yani kuimarika ni watu kutudi toka likizo? wangapi walikuwa lilizo? Nchi hii propaganda za DHAIFU zimezidi xana
 
Madaktari bingwa wametoa tamko kwamba wamegoma, TBC1 wanadai hali imeimarika! Kweli Tanzania ya Dhaifu ni zaidi ya uijuavyo! Au wamemchukua yule aliyekuwa waziri wa habari wa Saadam, Alsahaf, a.k.a "Comical" Ally kuwa mkurugenzi mkuu wa TBC!

TBC imepoteza weledi wa kuwa chombo huru cha serekali inajaribu kukinga upepo kwa wavu sijui kama itawezekana!
 
Back
Top Bottom