And I reported you as ABUSE you cannot BLASPHEMED me...
Ulivyo na huruma naamini hujamripotia. Ni mkwara tu
utafiti umeufanyia mabwe pande
Hiyo ni Muhimbili ya wapi?
Endeleni kujidanganya na huu uzushi wenu hakuna mtakaowapata, propaganda zenu hazijengi ila zinabomoa zaidi hata ule moyo wa kibinadamu uliopo kwa baadhi ya madaktari wanaofikiria kuwaunga mkono wenzao waliopo kwenye mgomo.
Sasa wakati huo huotunaambiwa leo wametangaza mgomo, na wakati huo huo tunaambiwa wamerudi........acheni siasa za kijinga, HAKUNA DR. ALIYERUDI KAZINI!!
na hao bigwa pia wamegoma sasa. ww kalia kughushi tu
Hakuna daktari aliyeko kazini we endelea kutengeneza tamthilia za kukufurahisha badala ya ku propose solution.
uongo wa mchana kweupeee!!!nilikuwa mhimbili mchana leo hii pale Muhas taarifa za uhakika ni kwamba hata madaktari bingwa wameanza mgomo.
Mbona mchana Madaktari Bingwa wametangaza kugoma?
Mh, siamini hadi kesho nitakapojionea mwenyewe, maana nchi hii
hamchelewi kuchakachua hata nyaraka nyeti...
Ni uongo wa tbc huu na magamba kupotosha wananchi na kuwapa matumaini hewa. Mgomo rasmi umeanza na lugalo yazidiwa na wagonjwa. Acheni umanyanya huo.
hii taarifa inaonekna imepikwa...kawadanganyeni vichaa
Tafakari chukua hatua, Kuna nini mbona pro-CDM hawataku kuona mgomo unaisha?
Tafakari chukua hatua, Kuna nini mbona pro-CDM hawataku kuona mgomo unaisha?
Tafakari chukua hatua, Kuna nini mbona pro-CDM hawataku kuona mgomo unaisha?
Sio mambo ya CHADEMA wala CCM chama, ni upofu wa watu waliopewa madaraka wanaacha kutatua matatizo badala yake wanatupia kelele za propaganda. Madaktari hawajaanza kusema leo kuhusu kudorora kwa huduma za afya. Wabunge wenyewe (angalia hansard) kila wakikaa wanalia na huduma za afya. Lakini kila mwaka wakubwa wanatoa ahadi bila ya kuzifanyia kazi. Sasa imefikia mahali kila mwenye pisa ni India!
Ni juzi tu madaktari wenyewe wameshindwa kumtibu mwenzao (Dr Ulimboka) kwa sababu hawana vifaa! Kwanini viongozi hawalioni hilo? Na kwa nini bunge linatumika kuzima watanzania mdomo?