Hapo kwenye red: Maana yake serikali imeshindwa kutatua tatizo la wezi? Lakini wala sishangani maana mgeuza kazi za polisi toka kuchunga usalama wa raia na mali na sasa wanakuwa watesaji.
Acheni hizo wapiga deal wakubwa ni hao madaktari; watesaji unauhakika serikali inahusika?
Chama
Gongo la Mboto DSM