Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,855
Siku za nyuma mlikuwa na nguvu haswa, lakini leo sijui mmeikosea nini serekali. Sekta ya usafiri wa reli imepewa kisogo.
Hivi hizi ndoto za kuanzisha usafiri wa reli kwa wakazi DSM zitatimiaje bila ya uwepo wa makampuni haya mawili yenye mtandao wa reli DSM na mikoani?
Serikali isiyafumbie macho matatizo yao, iyatatue.
Hivi hizi ndoto za kuanzisha usafiri wa reli kwa wakazi DSM zitatimiaje bila ya uwepo wa makampuni haya mawili yenye mtandao wa reli DSM na mikoani?
Serikali isiyafumbie macho matatizo yao, iyatatue.