Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
ha ha ha ha, mie ni bina adamu.
Leo hujatia timu fyatanga. Mbuzi zinalala kibudu hapa. Tatizo bajeti au PAYE?
ha ha ha ha, mie ni bina adamu.
Leo hujatia timu fyatanga. Mbuzi zinalala kibudu hapa. Tatizo bajeti au PAYE?
wa areku mmeku? Mamrasa wakwa wa areku dhae,teng'via kongosho shu ni msoro au ni mfedhe dhae!
Kwani huwa hazifutiki?
Ukipenda boga penda na UA lake
umeniogopa hadi umebadili code?
Are u a chicken??
we ni kuogope kwa lipi? Hata kama ungekuwa paw, hiyo code nilikuwa nagonga na bro wangu hapo asprn.
Khaaa....:hatari:!!mie ni kaka yake Paw, mbona nimeonamo na Kongosho?
Bora ujiandae mapema, natafuta mtafsiri nakuzukia PM.
Chukua nairob flayi weka kwenye hiyo tatuu kesho yake anaamka hana.
:washing:hoto:mkuu hii itamrahisishia jamaa kazi coz hatahitaji kujituma sana kumfikisha binti .... yeye akimvutia hisia victor tu mambo safi teh teh teh
Hii imekuwa inanisumbua sana yapata mwaka sasa. Mpenzi wangu katika malavi lavi na kudadavuana ya kiujana na boyfriend wake wa kwanza. Boyfreind wake alimlisha yamini mpaka kafikia kuchora Tatoo mbili kwenye mwili wake. Moja ya pajani juu sana ina alama ya kopa na mameno Victa for Life. Na ya kwenye makalio ameandika For Simple V. Victa alimtenda na mahusiano yao yakaisha bila kufikia malengo yao. Now nipo mimi.
Nampenda, naitaji kumuoa ila hili linaniumiza sana
hivi wewe ni MWANAMKE au MWANAUME? Nilikuwa naamini ni demu ila jinsi kila member anawasiwasi na jinsia yako kwa hii koment hata mimi wewe si mwanamke wala mwanaume ni binadamu tu asiyekuwa na jinsia.
Kama namfahamu vile.......anaishi dodoma? KAMA UNAMFAHAU UJUE NA WEWE ULISHAPITIA! LO!