wana JF naombeni msaada mimi ni mwanaume umri 22 huwa kila ninapo kutana kimwili na GF wangu huwa nawahi sana kufika mshindo jamani nina tatizo gani?? mwenye ufahamu jamani elimisha mimi plz au kama kuna dawa natakiwa kunywa b4 ya tendo plz elimisha mimi
umeisha ndugu, hapo uyo demu anakuchora 2, akienda kwa juma anamtupia ata 6 demu akitoka hapo anauchovu wa wk! akija kwako unampatia 1 tena dk 5 na game ndo imeisha! kifupi anakula ela zako 2!
Hapa panaitwa JF...hebu jamani acheni kufanya hii sehemu kama genge, msiwe kama ccm bana wao hata kitu cha maana wanasema amani inachezewa...mtu ana shida ameuliza kama unajua msaidie hujui kaa kimya hutapungukiwa na kitu itaonyesha una ustaraabu sio kumkatisha tamaa wakati wengne hapa mna matatizo makubwa zaidi!! ahh mnakera sana
Dogo punguza kula chipsi mayai na ikibidi acha kabisa,pendelea kula vyakula vya asili kama ugali wa dona na samaki fresh,ndizi za kupikwa zenye mchanganyiko na karang zilizosagwa,mihogo mboga mboga,mahindi ya kuchoma usisahau asali na maziwa pia,pendelea na supu ya samaki ukifululiza mwezi mzima ndonga itakuwa inasimama kila mara inaleta nyege sana hii kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.