EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kwanini watu wanajenga mabondeni?
Siku volcano ya Mlima Kilimanjaro ikiamka na kuleta madhara utauliza pia kwa nini watu wanajenga milimani? Kunaweza kuwa na sababu mbalimbali. Kwa mfano, kuna watu wengine kabla ya kuhamia Dar Es Salaam walikuwa wanaishi mabondeni huko walikotoka ambako kulikuwa na uhakika wa kupata chakula na maji. So, wapokuja Dar wakaona ni deal kujenga mabondeni pia.
Lakini ukweli ni kwamba Dar Es Salaam nzima ikiwemo Magogoni imejengwa mabondeni. At the moment tunawalaumu waliojenga jangwani na Rais anashauri wandoke lakini siku ikitokea sunami naye atakubali kuhama magogoni au ataikarabati Ikulu na kuendelea kuishi pale?
"Naweza kusema binadamu kiumbe cha ajabu." Source - Candid Scope