Niende moja kwa moja kwenye mada. Kutokana na takwimu za Ufaulu wa masomo ya Physics na Mathematics zilizotolewa baada ya matokeo ya Mtihani wa kidato cha Pili kutangazwa, Physics na Mathematics zinaburuza wanafunzi.
Tatizo hili lipo tangu kitambo, japo kuna wale waliobahatika kufundishwa na walimu bora miaka hiyo na walifanikiwa kuisoma Phyiscs ile yenyewe na walitoboa na wanaiweza Physics kwa undani (kwa kiasi chake).
Kiukweli kwa mwenendo huu Physics na Mathematics bado yanaonekana kama madude mazito na Si wadau, si Serikali, wanafunzi wala walimu waliotambua kwanini bado haya masomo yanawanyuka sana madogo na ndio maana bado yanaendelea (masomo) kuwanyuka watu!
Tatizo hili lipo tangu kitambo, japo kuna wale waliobahatika kufundishwa na walimu bora miaka hiyo na walifanikiwa kuisoma Phyiscs ile yenyewe na walitoboa na wanaiweza Physics kwa undani (kwa kiasi chake).
Kiukweli kwa mwenendo huu Physics na Mathematics bado yanaonekana kama madude mazito na Si wadau, si Serikali, wanafunzi wala walimu waliotambua kwanini bado haya masomo yanawanyuka sana madogo na ndio maana bado yanaendelea (masomo) kuwanyuka watu!