Abuwhythum
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 837
- 494
Nina simu aina ya Samsung Galaxy A30, kila mara inaonesha internal memory full, na inashindwa ku-operate kabisa, hadi ninalazimika kuzima simu na kuiwasha tena ndio kidogo inakuwa na free space.
Ikizingatiwa sijaweka vitu vingi vya kuifanya ijae. Sasa ninashindwa kuelewa iwapo hii simu ni fake au tatizo ni nini? Maana simu ina internal ya 64GB.
MSAADA JAMANI KWA MWENYE USHAURI WA JUU YA NINI NIFANYE ILI KUONDOA TATIZO HILI.
Ikizingatiwa sijaweka vitu vingi vya kuifanya ijae. Sasa ninashindwa kuelewa iwapo hii simu ni fake au tatizo ni nini? Maana simu ina internal ya 64GB.
MSAADA JAMANI KWA MWENYE USHAURI WA JUU YA NINI NIFANYE ILI KUONDOA TATIZO HILI.