KakaJambazi, Nakushuru kakajambazi kwa mawazo yako,
kweli nimefarijika kwa michango yenu.
kweli nimefarijika kwa michango yenu.
Utapona kwa uwezo wake Mwenyeezi Mungu inshallah.....Mh!kama kweli nitapona doctor mtimkavu nitashuru na nitakupm.asante sana
Kuna majani ukiyagusa yananywea....DON'T TOUCH ME/TOUCH ME NOT
Sasa mtu amekwambia dawa za kienyeji au kuna ma ENT wa kienyeji ?. Waacheni washirikina wawazike washirikina wenzao.Mwoneni ENT specialist ili kujua tatizo ni nini?