Kontelo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 572
- 160
Habari zenu wakuu,
Natumia simu tajwa hapo juu lkn tatizo nililonalo ni kuwepo kwa GPS kila mda ukipiga simu hutokea na hata ukiwasha internet hutokea pia. Nimejaribu mara kwa mara kuzima GPS kwenye location settings lakini ni bure.
Hakuna kinachobadilika tatizo hurudia pale pale. Mwenye uelewa na hizi simu anipe maelekezo maana napata kero.
Natumia simu tajwa hapo juu lkn tatizo nililonalo ni kuwepo kwa GPS kila mda ukipiga simu hutokea na hata ukiwasha internet hutokea pia. Nimejaribu mara kwa mara kuzima GPS kwenye location settings lakini ni bure.
Hakuna kinachobadilika tatizo hurudia pale pale. Mwenye uelewa na hizi simu anipe maelekezo maana napata kero.