Fuqin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 293
- 596
Mambo vipi wadau... Alhamis iliyopita nilienda mjini na gari wakaja watu wa tarura wakanipa risiti ya kulipia ilikuwa na control namba lakini cha ajabu mpaka leo imegoma kulipia kila nikiweka control namba naambiwa (control error) nikaenda kwa wakala kulipia kasema imegoma kuingia.
kwahyo mimi ni wakitembea na kikaratasi tuu au wanataka hii gari yenyewe wapige mnada kisa buku tu??? msaada wenu muhimu wadau...
kwahyo mimi ni wakitembea na kikaratasi tuu au wanataka hii gari yenyewe wapige mnada kisa buku tu??? msaada wenu muhimu wadau...