wambeke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 2,655
- 2,645
sawa mkuu ahsanteWakuu malumbano sio sehemu ya thread hii ,tunaomba mfatane ktk thread nyingine.
sawa mkuu ahsanteWakuu malumbano sio sehemu ya thread hii ,tunaomba mfatane ktk thread nyingine.
Km una hoja semanimetamani nikujibu ila nimemua kuacha tu
Utafika wakati ufake utaishaMuda wa kuzika hz Id fake!
Nafikiri kuna umuhimu ili kumuweka mpokea pesa salama kwani watu hawaaminiani tenaKuna ulazima wa kuweka kiwango cha pesa alichotoa mtu?
Wajipange pamoja wawe na bahasha ya rambirambi na waombe nafasi as jf members wenzakeItabidi muweke sehemu hapo kwenye msiba ka kibao kadoogo kalikoandikwa Jf ili mtu akikaona ajur members wake wako hapo ndio mkatambuane.....
Anayepokea sio mfiwa hivyo ni sahihi kuweka wazi kukwepa lawama, kumbuka wema wake wa kujitolea kukusanya unaweza kugeuka lawamaIla sio vema kutangaza kiwango cha pesa hiyo iwe faragha ya mfiwa na mtoaji.
Mkuu kumbuka 4:1Watu wanaleta utani sana hata kwenye jambo linalohusu maisha ya mwenzetu.
What goes around comes around tumfariji mwenzetu kwa moyo na kadiri tuwezavyo mengine yote hayajengi.
Asante kwa kumjulisha hiloMichango yake jf kufanana/kutofanana nae kuna umuhimu gani kwa anachopitia dada wa watu? Come on brother, show some little respect bwana...
Nakushauri ufute posts ulizomwandikia brigedia kama unataka kuendelea kuheshimiwa...jizuie hisia zako hasa kwa uzi huu, fanya hivyo plzsawa mkuu ahsante
Post zingine zinatia kinyaa mkuu
Ndio JF yetu mkuu...tupo watu wa kila aina.....mengine unabaki unajiuliza tu kwamba huyu mtu ni human au laPost zingine zinatia kinyaa mkuu
tatizo ni hawa tegemezi hotpot family yaani hawajui chochote zaidi ya ujinga tuu yaani nimesoma imeniuma sana mtu anaeleta ujinga kwa msiba ni mpumbavu sana badala tumfariji mfiwa wanaleta ujinga kwani mchango ni lazima kama mtu huna unapiga kimya kuliko kuponda pia rambirambi haina tajir wala maskin maana msiba hauna taarifa ujiandae jf bhana watoto wengihivi humu kuna mtu kalazimishwa kuchangia pesa yake?
hebu kuweni wastaarabu tafadhal!!
pita kimya tu km hujisikii tafadhali!
always negativity tuu!tatizo ni hawa tegemezi hotpot family yaani hawajui chochote zaidi ya ujinga tuu yaani nimesoma imeniuma sana mtu anaeleta ujinga kwa msiba ni ******** sana badala tumfariji mfiwa wanaleta ujinga kwani mchango ni lazima kama mtu huna unapiga kimya kuliko kuponda pia rambirambi haina tajir wala maskin maana msiba hauna taarifa ujiandae jf bhana watoto wengi