kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,494
haha ha haaaa hajaniruhusu kutoa no au picha. wewe ukifika ni pm ntakwambia namna ya kumuona mkuu.
Kama Heaven Sent mwenyewe hayuko wazi kuonana na watu msilazimishe wakuu. Don't make her uncomfortable, on top of everything that's happening around her at this moment.
Kama mtu anataka kujitambulisha msibani katoka JF na iwe juu yake lakini mwacheni HS apumzike kwanza.