Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Hakuna ushindi wa kisiasa wa mezani, kama hamulielewi hilo endeleeni kupaa angani wakati wananchi wako ardhini.Tusubiri daftari la wapiga kura liboreshwe ikiwa ni pamoja na tume huru ya uchaguzi nnadhani kuanzia hapo mmtaweza kuleta hoja hapa