Wanatakiwa waelewe kwamba kiburi walicho nwcho viongozi wa hii ccm ni cha muda tu, na kwamba Mungu ndie pekee atakae wahukumu muda autakai. Mwenye macho na asikie na kuona.Huyu jamaa ni kada wa Chama Cha Mama baba na watoto?
pole zao wote wanaomtegemea..
Habari za uhakika zilizopatikana hivi punde ni kwamba mkuu wa mkoa wa mara John Tupa ameanguka ghafla na kutokwa na povu Wakati akitoka nje ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya (DC) Tarime na kuelekea kupanda gari yake tayari kuanza ziara ya Tarime...
Amekimbizwa hospitali ya Wilaya; lakini taarifa za uhakika ni kuwa AMEFARIKI DUNIA.
Taarifa zaidi zitafuata!
RIP wa Tz tuwe tunacheki afya badala ya kusingizia kurogwa...watu mnatembea mkiwa na BP bila kujua...
Naona watu wanafikiria uchawi...
Mi nafikiria heart attack...
Ingekuwa Mulongo ingekuwa vp? Jengeni picha.
Wanatakiwa waelewe kwamba kiburi walicho nwcho viongozi wa hii ccm ni cha muda tu, na kwamba Mungu ndie pekee atakae wahukumu muda autakai. Mwenye macho na asikie na kuona.
john tupa kwao mkoa gani?
Pole tupa
Angalizo tupa usichezee tarime tenda tu haki na mche mungu sana hapo TM kuna mafundi balaah!!