Dah! Mkuu kumbe nawe ni mmoja wa kipindi kile cha "Introduction to third phase cost sharing". Nakumbuka ilikuwa kivumbi pale magomeni.
RIP Mama yetu!
Alikuwa mtata na mbabe sana, alijua ataishi maisha yake yote akiwa kiongozi hivyo akaacha kujipanga kimaisha, magamba walimtupa mara baada ya kuanza kuugua, ilibidi aje hadharani kuomba msaada.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana litukuzwe.
dah aalikuwa kiboko alippkuwa dc kndoni, hasa baada ya mgomo wa udsm na kutakiwa kusaini fomu pale kwake alikuwa hasikilizi mtu hata maelekezo toka kwa rc
Namkumbuka enzi zake,
Tulitakiwa atusainishie loan form .... Du RIP mama.