Salaam wakuu,
Taarifa nilizozipata hivi punde ni kuwa aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni mama Hawa Ngulume amefariki dunia muda mfupi uliopita.
Mama Hawa Ngulume alikuwa akisumbuliwa na kansa kwa muda mrefu.
Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali pema peponi, Amina.
Innalilah wa innalilah Rajuun.
Taarifa nilizozipata hivi punde ni kuwa aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni mama Hawa Ngulume amefariki dunia muda mfupi uliopita.
Mama Hawa Ngulume alikuwa akisumbuliwa na kansa kwa muda mrefu.
Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali pema peponi, Amina.
Innalilah wa innalilah Rajuun.