Lotus ameondolewa katika mashindano hayo mchana huu, hii ni kutokana na ugomvi kati yake na mshiriki kutoka South Africa-Luclay!
MKuu ebu jaribu kuongezea urefu wa uzi,eti ni masharti gani hayo amevunja huyu mtz??Lotus anaewakilisha Tz ndani ya BBA kafukuzwa na mwenye mjengo baada ya kukiuka masharti.
Afazali Mungu Mkubwa nimepumua coz ni aibu na ushenzi mtupu wanachokwenda fanya huko, mjalie na yule mwingine arudi
Lotus anaewakilisha Tz ndani ya BBA kafukuzwa na mwenye mjengo baada ya kukiuka masharti.
Afazali Mungu Mkubwa nimepumua coz ni aibu na ushenzi mtupu wanachokwenda fanya huko, mjalie na yule mwingine arudi
It's after a fight with South Africa's Luclay.
Tumebaki na Bhoke tu