Kacharimbe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 211
- 34
Kumbe na ninyi mnapenda kuangalia BBA. Hayo mambo machafu yanayotendeka mmeyajuaje? Heri mimi sijasema
Amekwaruzana na Lukley yule msauz
hivi lotus ndiyo yule aliyefanana na shabba ranks?
Lotus anaewakilisha Tz ndani ya BBA kafukuzwa na mwenye mjengo baada ya kukiuka masharti.
Afazali Mungu Mkubwa nimepumua coz ni aibu na ushenzi mtupu wanachokwenda fanya huko, mjalie na yule mwingine arudi
kweli BJ... yaani nikimuona nakumbuka champion lover
Kibali wamempa WASHENZI wooote wanaokaa na kupiga CHABO kwenye TV.
Halafu leo wanakuja na kuanza kulaani yanatokea huko ndani, kwani ulifikiri ni TV ya Dini?
Mmeyataka wenyewe na kuangalia TV za namna hii. Mvumilie tu.
Nawapa HONGERA hao vijana kwa kuonyesha Dunia ya kweli ya sasa ilivyo na si UNAFIKI.
Kama watu wasingeangalia na hata kuja kuweka vilawama vyao hapa au pongezi, BBA ingelikufa.
Hamna haja ya viboko wala nini. Wote wanao-NGONOA huko, ndiyo wanaofaa kwenye BBA na si hawa wanakwenda na kujifanya watu wa dini. Dunia sasa inataka SKENDO na si watu wenye nidhamu. Hao kawatafute kwenye majumba ya dini, ingawa hata huko nako kumeshaingiliwa.
Mie napenda Mabinti wanaoonyesha kila kitu kwenye TV. Hao ndiyo wanafaa maana macho yanafaidi huku ukisubiri Jumapili na Ijumaa zifike ili tukafute/kutubu dhambi zetu, AMEN.
(Akili za Mbayuwayu utumie unaposoma maneno yangu...........)
Mbona bado unaendeleza misamiati bandugu? Amekwaruzana naye katika 'kukwaruzana' au wamekwaruzana?
Najiuliza maswali ambayo cjawaipata majibu yake.
Huyu BB amapewa na nani kibali cha kufungua danguro kama lile
Sure, utakuta mibaba na mi mama imekaa na watoto wao kuangalia ujinga
Najiuliza maswali ambayo cjawaipata majibu yake.
Huyu BB amapewa na nani kibali cha kufungua danguro kama lile
MKuu ebu jaribu kuongezea urefu wa uzi,eti ni masharti gani hayo amevunja huyu mtz??
You can't be serious. Anyway it is not a joke hapo kwenye redNdio maana kuna wakati nataka bongo itawaliwe kwa SHARIAH LAW.
kweli BJ... yaani nikimuona nakumbuka champion lover
Alimpiga kofi huyo mshiriki mwenzake.ugomvi gani huo kampiga au? ila poa tu si juzi alimchagua bhoke ili abaki mtz mwenyewe sasa ona mwenzie anabaki,ila naomba kujua kilichotokea