Tanzania's Lotus disqualified from Big Brother

Kumbe na ninyi mnapenda kuangalia BBA. Hayo mambo machafu yanayotendeka mmeyajuaje? Heri mimi sijasema
 
Kibali wamempa WASHENZI wooote wanaokaa na kupiga CHABO kwenye TV.

Halafu leo wanakuja na kuanza kulaani yanatokea huko ndani, kwani ulifikiri ni TV ya Dini?

Mmeyataka wenyewe na kuangalia TV za namna hii. Mvumilie tu.

Nawapa HONGERA hao vijana kwa kuonyesha Dunia ya kweli ya sasa ilivyo na si UNAFIKI.

Kama watu wasingeangalia na hata kuja kuweka vilawama vyao hapa au pongezi, BBA ingelikufa.

Hamna haja ya viboko wala nini. Wote wanao-NGONOA huko, ndiyo wanaofaa kwenye BBA na si hawa wanakwenda na kujifanya watu wa dini. Dunia sasa inataka SKENDO na si watu wenye nidhamu. Hao kawatafute kwenye majumba ya dini, ingawa hata huko nako kumeshaingiliwa.

Mie napenda Mabinti wanaoonyesha kila kitu kwenye TV. Hao ndiyo wanafaa maana macho yanafaidi huku ukisubiri Jumapili na Ijumaa zifike ili tukafute/kutubu dhambi zetu, AMEN.

(Akili za Mbayuwayu utumie unaposoma maneno yangu...........)

Sure, utakuta mibaba na mi mama imekaa na watoto wao kuangalia ujinga
 
Mbona bado unaendeleza misamiati bandugu? Amekwaruzana naye katika 'kukwaruzana' au wamekwaruzana?

walibishana na mabishano yakapelekea hasira na kufikiaLotus kumpiga kibao Luclay(msauzi)

wakati Lotus ameondelewa, Luclay kapewa adhabu ya kuosha viombo vya washiriki wingine.
 
Najiuliza maswali ambayo cjawaipata majibu yake.
Huyu BB amapewa na nani kibali cha kufungua danguro kama lile

Peacebm: Kwa Madiba kufungua danguro ruksa ndugu yangu, ili mradi utimize masharti na usikwepe kodi tu. Cha msingi nikuipotezea tu. Mimi nimeamua kunyofoa Decorder fasta kuonyesha kutokubaliana na huo upuuzi.
 
Najiuliza maswali ambayo cjawaipata majibu yake.
Huyu BB amapewa na nani kibali cha kufungua danguro kama lile

Hizi Big Brother zinafanyika sehemu nyingi sana duniani, sana sana ULAYA..tena ndio kiboko, funga kazi.. Unaoneshwa hadi wakiwa wanaoga
 
Bora katoka, yeye si ndio alikuwa anataka mwenzake atoke ili abaki pekee??
 
Back
Top Bottom