It's after a fight with South Africa's Luclay.
Tumebaki na Bhoke tu
D a! mie nilikuwa namkubali sana!!!! Lotus, ana mguufulani hivi sijui mnyakyusa yule?!
mmmh bora wapungue tu,tena sipendi kusikia tukihamasishwa kupiga kura,kwani tuliwatuma huko,huyo Big Braza awe anatutumia vocha kwanza,wakishinda hela zao wanakula wenyewe,hawawakumbuki wenye dhiki hata kidogo.,wakafie mbali wote nyambaff...
Jamani INVISIBLE sura(avatar) yako inanitisha hasa hayo macho, yani nikiiona tu nasisimkwa mwili hata kuchangia nashindwa
Sio we pekeako kumbe tuko wengi mi mpaka nimeota nakimbizwa na hiyo Avatar ha haaa.
napita tu jamani... najiandaa na mwisho wa dunia
hivi lotus ndiyo yule aliyefanana na shabba ranks?
sishabikii upuuzi
It's after a fight with South Africa's Luclay.
Tumebaki na Bhoke tu
hivi lotus ndiyo yule aliyefanana na shabba ranks?
hivi lotus ndiyo yule aliyefanana na shabba ranks?
Aliponiacha hoi ni pale alipokua anamsimulia mwenzie kua yeye ni half cast, babaake mzungu mamaake ndo mbongo, na amefanana na babaake teh teh.
Sasa walau wewe mwenzangu ni baunsa, sa vimbau kama sie c ndo tutamuota hadi basi
hahhaaaaaaaaaaaaaaaa sipati picha huo mshangao wa hao aliokuwa anawasimulia hayo......