Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Gone too soon. Huyu Homeboy nimeongea naye mwaka jana na kupanga Pwagu na pwaguzi fulani huko mbele ya safari.

Hamuwezi kuamini, leo hii kama saa moja iliyopita, niliijiwa kichwani na mpango mzima na nikawa najiuliza kama bado atataka kuuendeleza au ameshagairi. Nafikiri muda huo huo ndiyo mwenzetu alikuwa akituaga. Nashindwa kuamini kama hii habari ni ya kweli.

Njia yetu ni hiyo hiyo wote. Mungu akupe mapumziko mema huko ulikotangulia.
 
Gone too soon. Huyu Homeboy nimeongea naye mwaka jana na kupanga Pwagu na pwaguzi fulani huko mbele ya safari.

Hamuwezi kuamini, leo hii kama saa moja iliyopita, niliijiwa kichwani na mpango mzima na nikawa najiuliza kama bado atataka kuuendeleza au ameshagairi. Nafikiri muda huo huo ndiyo mwenzetu alikuwa akituaga. Nashindwa kuamini kama hii habari ni ya kweli.

Njia yetu ni hiyo hiyo wote. Mungu akupe mapumziko mema huko ulikotangulia.

duh..pole mdau kwa kufiwa.
 
Clouds fm live dakika zilizopita mtu aliepo nyumbani kwa marehemu, watu wanazidi kufika ndugu zake bado hawajafika.

Kanumba alikuwa anaoga wanavyodai majirani saa sita usiku alitoka bafuni kuingia chumbani eti akamkuta Lulu anaongea simu ya mapenzi na mwanaume mwingine, wakagombana na akasukumwa na kuangukia kujigonga kichwa na ndio kilichosababisha kifo chake. sasa msemaji amesema kuwa hii ndivyo inavyoelezwa pale na wanasubiri wataalamu watoe taarifa yao, inaelekea ugomvi ulikuwa mkubwa kati yao hadi majirani walisikia.

Kwa hiyo kwa sasa ni kauawa na Mpenzie

RIP
 
Miez michache iliyopita hapa kuna thread ilianzishwa kuwa Kanumba kafia kwenye msitu wa Amazon akiact movie.

Tarehe 1/4 sikukuu ya wajinga watu walituma sana sms kwenye BBM kuwa the guy is dead.

ITV Alhamis walikuwa wakonyesha maisha ya Kanumba alipoanza kuagiza..

Jana michuzi alitoa clip ya kujikumbushia kuhusu Kanumba baada ya kutoka BBA.

Today...He is dead kiukweli!
 
Clouds fm live dakika zilizopita mtu aliepo nyumbani kwa marehemu, watu wanazidi kufika ndugu zake bado hawajafika.

Kanumba alikuwa anaoga wanavyodai majirani saa sita usiku alitoka bafuni kuingia chumbani eti akamkuta Lulu anaongea simu ya mapenzi na mwanaume mwingine, wakagombana na akasukumwa na kuangukia kujigonga na ndio kilichosababisha kifo chake. sasa msemaji amesema kuwa hii ndivyo inavyoelezwa pale na wanasubiri wataalamu watoe taarifa yao, inaelekea ugomvi ulikuwa mkubwa kati yao hadi majirani walisikia.

Kwa hiyo kwa sasa ni kauawa na Mpenzie

RIP

Hhhmmmm
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Habari zinasema kuwa Steven Kanumba amefariki kwa ajali ya gari, ila habari zaidi hazijatolewa, maiti wanasema imehifadhiwa mochuar muhimbili, so ha2jui kweli au!
 
Clouds fm live dakika zilizopita mtu aliepo nyumbani kwa marehemu, watu wanazidi kufika ndugu zake bado hawajafika.

Kanumba alikuwa anaoga wanavyodai majirani saa sita usiku alitoka bafuni kuingia chumbani eti akamkuta Lulu anaongea simu ya mapenzi na mwanaume mwingine, wakagombana na akasukumwa na kuangukia kujigonga na ndio kilichosababisha kifo chake. sasa msemaji amesema kuwa hii ndivyo inavyoelezwa pale na wanasubiri wataalamu watoe taarifa yao, inaelekea ugomvi ulikuwa mkubwa kati yao hadi majirani walisikia.

Kwa hiyo kwa sasa ni kauawa na Mpenzie

RIP

Duh asante kwa taarifa. Sasa kama ndio hivyo si Lulu anatakuwa kuarestiwa? Maana ni murder case!
 
Back
Top Bottom