mashimbamang'oma
Member
- Feb 21, 2012
- 53
- 23
REST IN PEACE STEVEN KANUMBA.... KWELI KIFO TUNATEMBEA NACHO... POLE KWA WAPENZ WA MOVIE BONGO.. TUMELIPOTEZA JEMBE.... DAH... NINGUMU KUAMIN... Inasemekana amekufwa baada ya kutokea mzozo yeye na mpenz wake akasukumwa na kuangukia KISOGO.. Wakiwa wanajiandaa kutoka out usiku wa saa sita kuamkia leo....