Tanzania: Vyama vya upinzani vyanyimwa ruzuku Rasmi

aaah! kumbe hela mnapata sasa mbona mnatuchangisha na sisi wananchi wakat hatujui hzo mnazopata mnazifanyia nini...wizi mtupu

Ndugu! acha kuwa na fikira mgando! yaani wewe mpaka sasa hivi hujui hata kufanya hesabu kidogo juu ya uendeshaji wa vyama?.Mbona hujasema ccm wanachukua ruszuku kiasi gani na hela chafu toka kwa mafisadi na bado wanachangisha wananchi>Mimi nadhani ni vyema tukawa tunatoa maoni yenye maslahi kwa jamii kuliko kukurupuka tu!.
 
I always keep asking myself why CCM walikubali siasa ya vyama vingi?? maana kila kukicha wanatumia taasisi zao kama POLISI, MSAJILI WA VYAMA,USALAMA WA TAIFA, MAHAKAMA ili Kugandamiza demokrasia na kudhibiti wapinzani hata ikibidi kuuwa, Ulaghai, kubambikia watu kesi na kila aina ya manyanyaso na ubakaji wa demokrasia.Si waseme tuu nchi ni ya chama kimoja? Baba na Mama wa Demokrasia TZ alishakufa zamani, vyama vya upinzani vimabaki yatima.
 
Wadau.........hivi CCM wanapata ngapi? ...... CDM?...... CUF nao? mwenye kujua anijuze tafadhali..... ..

CCM 1.2billion
CHADEMA 233million
CUF 98million

Hata hivyo utaratibu wa kutoa hizi hela ofisi ya Msajili inahusika kwa sehemu ndogo sana kwa kuandika Voucher kwenda hazina ambapo hazina inahamishia fedha hizo kwenye account za vyama kwa njia ya kielectroniki wala hakuna utaratibu wa Cheque kama mtoa habari alivyosema. Pia ile Voucher huwezi kuandika chama kimoja na kuacha vyama vingine kwa SABABU YOYOTE ILE.
Pengine ingeelezwa kuwa serikali haina fedha kwa sasa ningeelewa kwakuwa ni ukweli kuwa vyama vyote havijapata ruzuku hadi jana.
 
CCM 1.2billion
CHADEMA 233million
CUF 98million

Hata hivyo utaratibu wa kutoa hizi hela ofisi ya Msajili inahusika kwa sehemu ndogo sana kwa kuandika Voucher kwenda hazina ambapo hazina inahamishia fedha hizo kwenye account za vyama kwa njia ya kielectroniki wala hakuna utaratibu wa Cheque kama mtoa habari alivyosema. Pia ile Voucher huwezi kuandika chama kimoja na kuacha vyama vingine kwa SABABU YOYOTE ILE.
Pengine ingeelezwa kuwa serikali haina fedha kwa sasa ningeelewa kwakuwa ni ukweli kuwa vyama vyote havijapata ruzuku hadi jana.

Acha uongo, cheki inatoka kwa msajili na msajili huisaini hiyo cheki asipo saini hamna cha ccm wa cdm, usipotoshe ukweli, siasa za uongo tumezichoka hata sisi watumishi haturidhiki na hali halisi ya nchi kwa taarifa yako, anayeridhika ujue anafaidika na uozo kama huu wa boss wetu Tendwa.
 
aaah! kumbe hela mnapata sasa mbona mnatuchangisha na sisi wananchi wakat hatujui hzo mnazopata mnazifanyia nini...wizi mtupu

Kuchanga si lazima ni hiari!!pesa wanazopata ni ndogo sana kulinganisha na kazi iliyopo ya kujenga chama!hata CCM wanakwapua serikalini ili kufidia mapengo ya kuendesha chama!
 
Acha uongo, cheki inatoka kwa msajili na msajili huisaini hiyo cheki asipo saini hamna cha ccm wa cdm, usipotoshe ukweli, siasa za uongo tumezichoka hata sisi watumishi haturidhiki na hali halisi ya nchi kwa taarifa yako, anayeridhika ujue anafaidika na uozo kama huu wa boss wetu Tendwa.

Sikuwa na mpango wa kubishana na wewe kwa sababu sikujui.
Unataka kusema kuwa Vyama vyote vya siasa vinalipwa na ofisi ya Msajili wa vyama na siyo Hazina? Yaani ukaguzi wa fedha hizo unafanyika kwenye ofisi ya Msajili wa vyama au ni Hazina? Pia hebu nieleze kuwa kazi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kwamujibu wa Seria ni pamoja na Uhasibu wa kuidhinisha cheque za Ruzuku kwenda kwenye vyama vya Siasa?..
Simtetei huyo Mzee wa Kipare lakini najaribu kuuona kwa jicho jingine ulichoandika hakina ukweli kwa 100%. Samahani lakini.
 
Hivi mbona huyu jamaa habadilishwi? Miaka nenda rudi anakalia hicho cheo 2015 lazima atolewe
 
Sikuwa na mpango wa kubishana na wewe kwa sababu sikujui (Una fake Id)
Unataka kusema kuwa Vyama vyote vya siasa vinalipwa na ofisi ya Msajili wa vyama na siyo Hazina? Yaani ukaguzi wa fedha hizo unafanyika kwenye ofisi ya Msajili wa vyama au ni Hazina? Pia hebu nieleze kuwa kazi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kwamujibu wa Seria ni pamoja na Uhasibu wa kuidhinisha cheque za Ruzuku kwenda kwenye vyama vya Siasa?..
Simtetei huyo Mzee wa Kipare lakini najaribu kuuona kwa jicho jingine ulichoandika hakina ukweli kwa 100%. Samahani lakini.

Unadhani wewe ulichoandika ndiyo kinaukweli? Achakupotosha kwasababu umepata fursa ya kuandika madudu humu! Kwakuweka kumbukumbu sawa sawa rejea information yangu ya mwisho hapo. Then fuatilia kinachoendelea ndiyo utajua upi ukweli upi uongo, hayo mengine sina muda wa kupoteza na wewe kwakuwa hata tendwa mwenyewe alisha wahi kuropoka hadharani kuwa cdm wasusie basi na Ruzuku kwakuwa inapitia kwake... Sijui nitakuwa nimekujibu, samahani lakini... Jitafakari kwanza
 
CCM 1.2billion
CHADEMA 233million
CUF 98million

Hata hivyo utaratibu wa kutoa hizi hela ofisi ya Msajili inahusika kwa sehemu ndogo sana kwa kuandika Voucher kwenda hazina ambapo hazina inahamishia fedha hizo kwenye account za vyama kwa njia ya kielectroniki wala hakuna utaratibu wa Cheque kama mtoa habari alivyosema. Pia ile Voucher huwezi kuandika chama kimoja na kuacha vyama vingine kwa SABABU YOYOTE ILE.
Pengine ingeelezwa kuwa serikali haina fedha kwa sasa ningeelewa kwakuwa ni ukweli kuwa vyama vyote havijapata ruzuku hadi jana.

......ahsante mkuu kwa kunitoa ujinga..
 
Unadhani wewe ulichoandika ndiyo kinaukweli? Achakupotosha kwasababu umepata fursa ya kuandika madudu humu! Kwakuweka kumbukumbu sawa sawa rejea information yangu ya mwisho hapo. Then fuatilia kinachoendelea ndiyo utajua upi ukweli upi uongo, hayo mengine sina muda wa kupoteza na wewe kwakuwa hata tendwa mwenyewe alisha wahi kuropoka hadharani kuwa cdm wasusie basi na Ruzuku kwakuwa inapitia kwake... Sijui nitakuwa nimekujibu, samahani lakini... Jitafakari kwanza

Aaah!..
Kumbe wewe Bro hauko serious! Unatafuta watu wa kubishana nao tu. Goodluck. Endelea.
 
CCM 1.2billion
CHADEMA 233million
CUF 98million

Hata hivyo utaratibu wa kutoa hizi hela ofisi ya Msajili inahusika kwa sehemu ndogo sana kwa kuandika Voucher kwenda hazina ambapo hazina inahamishia fedha hizo kwenye account za vyama kwa njia ya kielectroniki wala hakuna utaratibu wa Cheque kama mtoa habari alivyosema. Pia ile Voucher huwezi kuandika chama kimoja na kuacha vyama vingine kwa SABABU YOYOTE ILE.
Pengine ingeelezwa kuwa serikali haina fedha kwa sasa ningeelewa kwakuwa ni ukweli kuwa vyama vyote havijapata ruzuku hadi jana.

Acha uongo, cheki inatoka kwa msajili na msajili huisaini hiyo cheki asipo saini hamna cha ccm wa cdm, usipotoshe ukweli, siasa za uongo tumezichoka hata sisi watumishi haturidhiki na hali halisi ya nchi kwa taarifa yako, anayeridhika ujue anafaidika na uozo kama huu wa boss wetu Tendwa.

Sikuwa na mpango wa kubishana na wewe kwa sababu sikujui.
Unataka kusema kuwa Vyama vyote vya siasa vinalipwa na ofisi ya Msajili wa vyama na siyo Hazina? Yaani ukaguzi wa fedha hizo unafanyika kwenye ofisi ya Msajili wa vyama au ni Hazina? Pia hebu nieleze kuwa kazi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kwamujibu wa Seria ni pamoja na Uhasibu wa kuidhinisha cheque za Ruzuku kwenda kwenye vyama vya Siasa?..
Simtetei huyo Mzee wa Kipare lakini najaribu kuuona kwa jicho jingine ulichoandika hakina ukweli kwa 100%. Samahani lakini.

Ina ukweli wa 0.1% tu kuwa CHADEMA NA VYAMA VINGINE HAWAJAPATA RUZUKU.. Huko kwingine nasikia harufu mbaya!

Unadhani wewe ulichoandika ndiyo kinaukweli? Achakupotosha kwasababu umepata fursa ya kuandika madudu humu! Kwakuweka kumbukumbu sawa sawa rejea information yangu ya mwisho hapo. Then fuatilia kinachoendelea ndiyo utajua upi ukweli upi uongo, hayo mengine sina muda wa kupoteza na wewe kwakuwa hata tendwa mwenyewe alisha wahi kuropoka hadharani kuwa cdm wasusie basi na Ruzuku kwakuwa inapitia kwake... Sijui nitakuwa nimekujibu, samahani lakini... Jitafakari kwanza

Aaah!..
Kumbe wewe Bro hauko serious! Unatafuta watu wa kubishana nao tu. Goodluck. Endelea.
Bado nangoja mwenelezo wa darasa hili!.
Wakuu tiririka zaidi ili niweze kuelewa nielimike.
 
Back
Top Bottom