Tanzania: Vyama vya upinzani vyanyimwa ruzuku Rasmi

ashtakiwe wa kufanya kazi kisiasa. mtumishi wa umma ovyo!!! ndo madhara ya kuteuliwa hayo

Namuombea Apigwe na "kitu kizito au chenye ncha kali" na PoliCCM ili waiisingizie CDM na wapate mwanya wa kiufuta. Lakini Tendwa atakuwa hayupo tena
 
Huyu babu anajifanya anajua sana, umri wake angekua huko japani saivi angekua anaishi kwenye kambi za wazee, ila hajui tu cheo kapewa kwa fadhila
 
Ametushangaza sana sisi wafanyakazi wa ofisini kuweka bifu zake binafsi mpaka kwenye mambo ya kisera, Tendwa hashauriki kwasasa na huu ni msukumo wa kisiasa kutoka chama Tawala, tumemueleza wazi kuwa chadema walisema hawatafanya kazi na wewe na siyo ofisi yako, Sasa kwanini Tusiwape ruzuku yao? Mbona hawa chama Tawala wamechukua?

Atabana ataachia
 
Namuombea Apigwe na "kitu kizito au chenye ncha kali" na PoliCCM ili waiisingizie CDM na wapate mwanya wa kiufuta. Lakini Tendwa atakuwa hayupo tena

au mlipuko ambao haujulikani ulikotokea.
 
Hili jambo yafaa lipate maelezo vizuri:-
1. Tendwa anaweza kuzuia ruzuku ya chama cha siasa?
2. Utaratibu wa malipo ni wa cheki au vocha?, Kwa sahii ya nani?
3. Utaratibu unafanywa kwa ujumla au ni kwa chama kimoja kimoja?
4. Je kama inatokea Tendwa anaweza fanya No. 1 Utaratibu gani unafuata kwa chama husika?

Mkuu,
1. Tendwa hana mamlaka wala uwezo wa kuzuia Ruzuku za chama chochote cha siasa.
2. Utaratibu wa Voucher ndio unaofanywa kwa sababu hawaendi Bank moja kwa moja bali hupitishwa hazina kisha pesa hizo huingizwa kwenye account hizo kwa njia ya kielektroniki.
3. Internal Memo huandikwa na Mhasibu na kusainiwa na Tendwa au hata Msaidizi wake kisha hurudi kwa Mhasibu na Mhasibu huandika Voucher na kuisaini kupeleka Hazina. Kwa utaratibu huu Internal memo haiandikwi ya Chama kimoja kimoja bali huandikwa kwa mfumo wa fomu moja yenye vyama vyote na fedha wanazostahili kulipwa. Swali la mwisho limekufa kwenye majibu yangu automatic.
 
Mkuu,
1. Tendwa hana mamlaka wala uwezo wa kuzuia Ruzuku za chama chochote cha siasa.
2. Utaratibu wa Voucher ndio unaofanywa kwa sababu hawaendi Bank moja kwa moja bali hupitishwa hazina kisha pesa hizo huingizwa kwenye account hizo kwa njia ya kielektroniki.
3. Internal Memo huandikwa na Mhasibu na kusainiwa na Tendwa au hata Msaidizi wake kisha hurudi kwa Mhasibu na Mhasibu huandika Voucher na kuisaini kupeleka Hazina. Kwa utaratibu huu Internal memo haiandikwi ya Chama kimoja kimoja bali huandikwa kwa mfumo wa fomu moja yenye vyama vyote na fedha wanazostahili kulipwa. Swali la mwisho limekufa kwenye majibu yangu automatic.

Deus mnatuchanganya,mleta mada anadai Tendwa ana sign cheq,wewe unadai Tendwa ana sign voucher,nafikiri kuna mahali mnapishana
 
Deus mnatuchanganya,mleta mada anadai Tendwa ana sign cheq,wewe unadai Tendwa ana sign voucher,nafikiri kuna mahali mnapishana

Tatizo ni kwamba Tendwa amejipatia maadui wengi sana kutokana na utendaji wake mbovu hivyo mtu akiandika lolote juu yake anaaminika. Mleta mada hapa hata hajui utaratibu huu wa Kuhamisha hela kutoka Hazina kwenda kwenye vyama vya siasa. Ongea na Mkurugezi wa Fedha Chadema au Mweka hazina wa CCM watakupa utaratibu huu. Kama kweli mleta mada ni mfanyakazi kwenye ofisi ya Tendwa basi yupo kwenye ngazi za chini sana. Sana!.
 
Tatizo ni kwamba Tendwa amejipatia maadui wengi sana kutokana na utendaji wake mbovu hivyo mtu akiandika lolote juu yake anaaminika. Mleta mada hapa hata hajui utaratibu huu wa Kuhamisha hela kutoka Hazina kwenda kwenye vyama vya siasa. Ongea na Mkurugezi wa Fedha Chadema au Mweka hazina wa CCM watakupa utaratibu huu. Kama kweli mleta mada ni mfanyakazi kwenye ofisi ya Tendwa basi yupo kwenye ngazi za chini sana. Sana!.
Uliweza kutujuza kuwa malipo ya ruzuku kwa vyama vyote yalikuwa bado, sasa kuhusu hizi tuhuma sijaweza kujua kama kweli CCM wamepata na wengine kunyimwa. Mkuu ufanye juhudi kupata ukweli kuhusu habari hii ili tujue kama utaratibu wa kawaida (UMEBAKWA) au Tendwa na Ofisi yake wamezushiwa!.
 
Mkuu,
1. Tendwa hana mamlaka wala uwezo wa kuzuia Ruzuku za chama chochote cha siasa.
2. Utaratibu wa Voucher ndio unaofanywa kwa sababu hawaendi Bank moja kwa moja bali hupitishwa hazina kisha pesa hizo huingizwa kwenye account hizo kwa njia ya kielektroniki.
3. Internal Memo huandikwa na Mhasibu na kusainiwa na Tendwa au hata Msaidizi wake kisha hurudi kwa Mhasibu na Mhasibu huandika Voucher na kuisaini kupeleka Hazina. Kwa utaratibu huu Internal memo haiandikwi ya Chama kimoja kimoja bali huandikwa kwa mfumo wa fomu moja yenye vyama vyote na fedha wanazostahili kulipwa. Swali la mwisho limekufa kwenye majibu yangu automatic.

Asante mkuu kwa kunielewesha, kama majibu yako ni sawa basi hapa hakuna dukuduku tena!!!!!
 
Uliweza kutujuza kuwa malipo ya ruzuku kwa vyama vyote yalikuwa bado, sasa kuhusu hizi tuhuma sijaweza kujua kama kweli CCM wamepata na wengine kunyimwa. Mkuu ufanye juhudi kupata ukweli kuhusu habari hii ili tujue kama utaratibu wa kawaida (UMEBAKWA) au Tendwa na Ofisi yake wamezushiwa!.

Huwa siandiki kitu nisicho na uhakika nacho kwa 99.9%. Nimeongea na watu wengi muhimu kuthibitisha hili. Ruzuku ya vyama vyote haijatoka;Labda itoke leo lakini ofisi ya Tendwa haijaweka kikwazo chochote. Tusizidi kumpaka nyani rangi nyeusi japokuwa ni mweusi.
 
Mkuu Deus Mallya, hebu tuambie, asipo sign Tendwa hiyo memo, voucher itaandikwa?
Na voucher ikiandikwa, inasainiwa na nani iliiende hazina? Mhasibu hawezi kuandika voucher na kuisaini mwenyewe.... Am I correct?
 
Last edited by a moderator:
This will be a BIG SHAME if not EMBARRASSMENT to that oldman, Mzee Tendwa, if proved guilty in undermining the opposition parties in favor for the ruling party, though he needs to know that other opposition parties if not one party will prosper thru contributions from the public. WATCHOUT THIS OLD MAN!
 
Hivi ndio vile viwanda vya uongo.

Chadema wasipate cheki yao na wakae kimya tu?
 
Naomba mungu akulaani wewe mleta mada kwa kusema vitu vya uongo ili wakustukie wakufukuze kazi uwe unazunguka tu mitaani na usipate kazi popote.
 
Back
Top Bottom