Tanzania VS Uganda

halafu timu hiyo ya waganda inayocheza hapo haina hata mchezaji mmoja anayecheza soka nje ya uganda wao wameleta timu ya CHAN wakati sie ndio tumevunja kabati hapo
 
what kind of substitution is that huyu tegete angeingizwa wakati tuna walau dakika 15 huwa ni goalgetter mzuri sana
 
kabla ya hii mechi wachezaji wetu waliahidi leo watafia uwanjani, na kweli wamefia uwanjani kwa sababu hawaendelei tena na mashindano maneno huumba.
 
.... Hao TFF ni wapumbafu na hawana hata vision wala objectives. Wameingiza siasa za CCM tuuu hakuna lolote...
Huwezi kulazimisha players wa Simba na Yanga waende kucheza mashindano ya kugombea mbuzi, ambayo hata hayana tija, wakati klabu zina mashindano makubwa in just few weeks time. Mipango gani hiyo ya kifala..?

Ona sasa inaonekana wazi kuwa Challenge tulibebwa tu na vipenati vya kupewa...

Wangepeleka timu ya vijana, au baadhi ya players ambao kocha anawafikiria in future. Huyu babu nae ni wale wale....sidhani kama ana lolote jipya.
 
.... Hao TFF ni wapumbafu na hawana hata vision wala objectives. Wameingiza siasa za CCM tuuu hakuna lolote...
Huwezi kulazimisha players wa Simba na Yanga waende kucheza mashindano ya kugombea mbuzi, ambayo hata hayana tija, wakati klabu zina mashindano makubwa in just few weeks time. Mipango gani hiyo ya kifala..?

Ona sasa inaonekana wazi kuwa Challenge tulibebwa tu na vipenati vya kupewa...

Wangepeleka timu ya vijana, au baadhi ya players ambao kocha anawafikiria in future. Huyu babu nae ni wale wale....sidhani kama ana lolote jipya.
Mafuluto,
Ukiangalia hii time wakati wa challenge imefika fainali kwa bahati saana yaani kwa vipenati vya utatanishi, haikuwa na washambuliaji kabisa. Anyway babu bado anatafuta mbinu ya kuijenga.
 
mimi nafikiri tunacheza bila malengo na hilo ndio tatizo letu kubwa

huo ndio ukweli, si wachezaji tu hata benchi la ufundi wanaonekana kama walilazimishwa kwenda misri. ile hali ya kujituma na kucheza kwa malengo waliyoonesha wakati wa cecafa imekufa kabisa. au labda wanafikiria fainali ya mapinduzi cup kwani wachezaji wetu kwa game la simba na yanga...!!!!! :Cry::Cry::Cry:
 
.... Hao TFF ni wapumbafu na hawana hata vision wala objectives. Wameingiza siasa za CCM tuuu hakuna lolote...
Huwezi kulazimisha players wa Simba na Yanga waende kucheza mashindano ya kugombea mbuzi, ambayo hata hayana tija, wakati klabu zina mashindano makubwa in just few weeks time. Mipango gani hiyo ya kifala..?

Ona sasa inaonekana wazi kuwa Challenge tulibebwa tu na vipenati vya kupewa...

Wangepeleka timu ya vijana, au baadhi ya players ambao kocha anawafikiria in future. Huyu babu nae ni wale wale....sidhani kama ana lolote jipya.
Mafuluto, poa munkari kaka. TFF walitumia busara kulazimisha wachezaji hawa waende Misri. Kumbuka tuna mechi ya kushindana kwenda kombe la Africa. Timu hii iliamuriwa iende ili ichukulie mechi hizi kama maandalizi ya mechi hiyo. Naamini mechi hizi zimtawasaidia kujua wapi warekebishe ili washinde mechi ya Afrika. Bila hizi mechi kasoro zilizotokea ndo zingetokea katika mechi hiyo.
Challenge atukubebwa hata kidogo. Tulipambana wenyewe. Kumbuka tulikuwa na faida ya kuchezea nyumbani. Taifa Stars mechi kama hii ingechezwa nyumbani zile kelele za mashabiki zingewasaidia na pengine tungeshinda mengi au goli lisingerudi.
Kama kuna ubovu kwenye hii timu basi ni wachezaji wenyewe. Kocha hana tatizo. Huyo Tegete mie simwamini, nadhani kocha afikirie kuingiza wachezaji wengine na sio kufata makelele ya washabiki. Saidi Maulidi ni mzuri, Machupa mrembo nae katika mashindano haya mie nawapointi nyingi zaidi ya Ngassa
 
images
 
kabla ya hii mechi wachezaji wetu waliahidi leo watafia uwanjani, na kweli wamefia uwanjani kwa sababu hawaendelei tena na mashindano maneno huumba.

Hivi kuna hata mchezaji alie mwaga chozi kuonyesha uzalendo?
 
Timu iliyojaa wazaramo, wagogo na wamakonde aiwezi lia. Pangekuwa na wachaga basi hata kama sio kulia kwa uzalendo ingelia kwa kukosa madola watakayopata washindi wa michuano hii.
 
stars mgonjwa wa maralia ya vipindi...leo safi kesho uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,
 
Back
Top Bottom