Hivi so far Uganda ana point? na Burundi?
Namuona kama Said Maulid ndani duh jamaa kaitwa huyu SMG huwa namkubali sana nadhani anacheza soka la kulipwa kule Mos
uganda 3 tanzania 1 burundi 1i meant ana point ngapi?
uganda 3 tanzania 1 burundi 1
Tunaitaji kushinda hii mechi ili kuingia nusu fainali. Uganda wanahitaji sare. Lakini hayo yote pia yanategemea mechi ya Misri na Burundi. Burundi akishinda( akiachiwa, maana hakuna njia watamfunga Misri) inabidi wahesabu tofauti ya magoli ya kufungwa na kushinda, ikifika hapo inaweza kula kwetu mana tulichapwa mengi. Nadhani Burundi akijitahidi weeee atapata sare vinginevyo iende uwanjani na kapu la kubebea magoli yao ya kufungwa!