Kilakshari
JF-Expert Member
- Dec 13, 2008
- 350
- 20
"TUNAJUA matokeo yetu yamewanyong'onyesha Watanzania, hatutawaangusha tena,
tutaifunga Uganda na kufuzu nusu fainali," hiyo ni kauli ya nahodha wa Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa akizungumzia mchezo wa leo na kunukuliwa na gazeti la Habari leo.
Mchezo huo utaonyeshwa kwenye intanet kwa kutumia anuani ya mtandao ifuatayo:
MyP2P.eu :: Football schedules, watch live Football on your pc.
tutaifunga Uganda na kufuzu nusu fainali," hiyo ni kauli ya nahodha wa Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa akizungumzia mchezo wa leo na kunukuliwa na gazeti la Habari leo.
Mchezo huo utaonyeshwa kwenye intanet kwa kutumia anuani ya mtandao ifuatayo:
MyP2P.eu :: Football schedules, watch live Football on your pc.