Kilakshari
JF-Expert Member
- Dec 13, 2008
- 350
- 20
Haya waungwana, Taifa Stars leo inasaka pointi 3 muhimu mikononi mwa C.A.R ambao kwa sasa ndio viongozi wa kundi D, linalojumuisha timu zingine za Algeria, na Morrocco. Tunaomba wadau wanaojua matokeo au chochote kuhusu mechi hii watuhabarishe. Mungu ibariki Tanzania, ibariki Taifa Stars iweze kushinda mechi hii muhimu ya leo.