Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Jamaa ni wa kawaida kabisaaa,tunakosa mbinu mjalabu kuwafunga na kwa kiwango chetu mpaka huu kabumbu ni 50/50. Bahati mbaya hatujui kuwa wao wana mtaji tayariPamoja na kupigwa bao la mapema. Je, Stars wanaonyesha matumaini, au wameelemewa.