TANZANIA vs ALGERIA LIVE ON....

Ngassa, Nurdin and Victor Costa if w'll b utilized fully in second half: Starz can earn all 3points at the end of the game.
 
Hakuna mabadiliko yoyote yalifanyika, Starz wamerudi kama walivyokuwa awali.
 
Hawa wa alges wametubana ile mbaya mda huu. Kuna kila hatari ya kufungwa wachezaji wetu wasiposhtuka!
 
Algeria na Starz kabla ya Mechi ya leo wote walikua na point 4 wanazidiana magori tu.
 
Back
Top Bottom