Tanzania tuna walimu wa kufundisha Kifaransa, Kiarabu na Kichina? Walisomea wapi haya masomo?

Zanzibar sasa, ndio wengi wanaenda Kumamoto degree hizo za kifaransa, kichina na kiarabu pale state university of Zanzibar kwenye school of Kiswahili and foreign language, alafu baadae wanakuja kujinoa, pale udsm Taasisi ya Confucius sijui ile inaitwa, mtanirekebisha au mabepari tunaenda alliance francaise.
Typo ya kibabe sana hiyo mkuu 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Ukisoma vizuri maelekezo ya TAMISEMI inaonekana wamejiandaa vizuri maana tahasusi hizo zimeelekezwa katika shule maalum ambazo wao ndiyo wamezichagua kwa ajili hiyo.

Lakini pia haitashangaza kama mpaka masomo yanaanza hakuna cha mwalimu wala vitabu. Hatujawahi kuwa siriazi na cho chote; na uzoefu wetu unaonyesha hivyo!🚮
 
Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu

1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.

2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?

3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?

4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?

5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?

6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?

Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
Yule waziri wa elimu yule ni Professor lakini kuna walakini mkubwa sana.
 
Pale udsm wanafundisha degree hiyo ya kifaransa, na ipo katika department of foreign languages and linguistics.
UDOM Kuna Bachelor of Arts in french.

Zanzibar sasa, ndio wengi wanaenda Kumamoto degree hizo za kifaransa, kichina na kiarabu pale state university of Zanzibar kwenye school of Kiswahili and foreign language, alafu baadae wanakuja kujinoa, pale udsm Taasisi ya Confucius sijui ile inaitwa, mtanirekebisha au mabepari tunaenda alliance francaise.

Jamaa hata vitu vidogo hivi huvifahamu. Mbona vyuo vingi sana. Tena degree zilizonyooka na watu kibao wapo nje ya nchi huko. Yani kuna watu wapo china ni watanzania na wanafundisha kichina au kingereza
Hao walimu wakufundisha hizo shule wapo ?
 
Walimu watapatikana tu wa kuunga unga kama walivyo wa kiingereza.
Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu

1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.

2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?

3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?

4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?

5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?

6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?

Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
 
Ukisoma vizuri maelekezo ya TAMISEMI inaonekana wamejiandaa vizuri maana tahasusi hizo zimeelekezwa katika shule maalum ambazo wao ndiyo wamezichagua kwa ajili hiyo.

Lakini pia haitashangaza kama mpaka masomo yanaanza hakuna cha mwalimu wala vitabu. Hatujawahi kuwa siriazi na cho chote; na uzoefu wetu unaonyesha hivyo!
Wanafunzi watakutana na mtihani wa taifa tu nchi la hovyo hili.
 
Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu

1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.

2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?

3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?

4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?

5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?

6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?

Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
Wapo wa kutosha wala hakuhitaji mjadala maana Udom na udsm wamejaa
 
mimi naona msingi sio walimu wa kufundisha hizo kozi, msingi ni wadau wapi walishirikishwa mpaka kufikia uamuzi huo? maana waziri na mkwewe wanakaa tu wanaamua nini cha kufanya kwa nchi. Masomo ambayo dunia inayathamini na kuyafundisha sasahivi sisi tunahangaika na malugha ya watu , na tunapoelekea huko usishangae tahasusi ya lugha ya mama kizimkazi nayo inakuwa kwenye mitaala, wazungu wanasema wanyime elimu na maarifa upate kuwatawala vizuri. SHAME.
 
Ni kweli kwamba dunia ya sasa ni ya teknolojia na upo sahihi kwamba serikali ingeyatilia mkazo masomo ya teknolojia.. lakini kuuliza kwamba walimu wa lugha hizo tatu wapo au hawapo ni swala la kushangaza Sana watu wanasoma kifaransa,kichina na kiarabu toka shule ya msingi hata Mimi ni mmoja wapo nilisoma kifaransa toka shule ya msingi mpka kidato cha pili nikasoma masomo ya sayansi form 3 mpk six ... Na kuhusu dini kwani hakuna vyuo vinavyo toa elimu ya THEOLOGY ? mbn vingi Tu mkuu ... Kiufupi umekurupuka ni Mambo ambayo yapo miaka na miaka sio kama yameanzishwa juz juz kama usemavyo
 
Watasambazwa nchi nzima kwenda kufundisha hizo shule ?

Wako wangapi ?
siala la kitakwimu hatubuni majibu,

walimu wapo na wanendelea kufundishwa maeneo mabalimabali kutokana na umuhimu na mahitaji ya nchi na dunia nzima...
 
Watanzania mnapenda kulalamika sana haswa kwa vitu vidogo
Nina msululuu wa marafiki kutoka pande mbali mbali za dunia kutoka katika GROUP za FACEBOOK wanakuja ama wengine wanafikikia kuja TANZANIA kujifunza kiswahili haswa wachina
Hivi unafikili kila mtu afanye TEHAMA unadhani DUNIA itaendelea hvyo

Mimi nawashauri VIJANA wengi kwa sasa watumie FACEBOOK kupata maarifa na marafiki kuna GROUP tofauti tofauti ambazo zitaongeza KNOWLEDGE yako kulingana na wewe mwenyewe unataka nini ama kujifunza nini
mimi napenda sana mambo ya ANCIENT hvyo nipo kwenye GROUP amabazo nakutana na watu kitoka mataifa mbalimbali amabao mataifa yao yameendelea au mengine yanaendele sana lkn hawana interest kabisa na TEHAMA hvyo mambo mengine kila mtu afanye analopendelea ndio maana hizo tahasusi zikanyambuliwa tofauti tofauti
Kuhusu walimu ni vile wewe sio interest zako ila walimu wapo hata ukitaka kujifunza Ancient Greek language KOINE wapo walimu
 
Ni nature ya mwanadamu kutokukubaliana na mabadiliko ila nazan tuwape mdu wa kuzoea lkn pia tujipe mda wa kujielimisha juu ya jambo hili
Serikal inawasomi na wataalamu weng sana na ndo walotumika kuandaa mitahara hii ebu tuwaamin wataalamu wetu
 
Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu

1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.

2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?

3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?

4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?

5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?

6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?

Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
Hizi tahasusi za dini zilitakiwa ziachwe kwa madhehebu ya Dini yenyewe. Sioni tahasusi inayohusu dini za asili za waafrika au dini za kihindi . Je hawa wamebaguliwa? Mambo ya dini yasihusishwe na mitahala ("syllabus ") ya Wizara ya Elimu. Wahitimu wa dini watapata ajira wapi?Serikali haina dini!.
Hizo tahasusi za lugha ni kitu kizuri kwanza Tanzania imechelewa sana. Afrika ya kusini ilianza kufundisha Kichina kama miaka 20 iliyopita. Wachina ndio wawekezaji wakubwa nchini, wakiongea tuwaelewe wanasema nini? Wachina walijifunza kiswahili miaka mingi iliyopita , sasa wanakuja kuwekeza hadi vijijini.
 
Nimeona taasusi mpya zilizotolewa na wizara ya elimu Tanzania. Naomba tusaidieni mawazo kama zinatekelezeka na zina tija kwa watoto wetu

1. Tuambieni waalimu wa lugha ya kiarabu, Kifaransa na Kichina tunao? Chuo gani cha ualimu kinafundisha haya masomo kwa ngazi ya degree? Nauliza degree kwa sababu mwalimu wa kidato cha tano lazima awe na degree.

2. Ni nani kati yetu amewahi kushirikishwa kutoa maoni kuhusu mabadiliko haya?

3. Je, wanaosoma dini watakwenda kusoma nini chuoni? Wataenda vyuo gani hapa nchni?

4. Dunia inakimbilia kwenye TEHAMA, kwanini mfumo huu umejikita zaidi nje ya TEHAMA?

5. Ni nchi gani Duniani ina Tahsusi za aina hii tulipokwenda kujifunza au tunarudia aliyoifanyia hii nchi Mungai wakati anapanga kuua elimu yetu huku elimu ya Kenya ikiwa inapanda?

6. Waalimu wa kufundisha dini tuliwaandaa katika vyuo gani?

Kwamba hizi tahasusi zimeridhiwa au zimeletwa kwa ajili ya maoni? Nchi ya viwanda, biashara na kilimo kweli itatoboa kwa mfumo wa elimu ambao hauungani kati ya primary, secondary na chuo?
Pleasure,ikimpendeza anaamua tu.
 
Back
Top Bottom