Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,903
Kwema Wakuu!
Ni lini lugha mama zetu, nazungumzia lugha zetu za kikabila zitaingizwa kwenye mitaala kama moja ya masomo ya lugha kama ilivyo kichina, kingereza, kiswahili, kiarabu.
Tunampango gani wa kuhifadhi lugha zetu za asili au elimu ya kigeni itafanikiwa kuzifuta Lugha zetu za asili kisha tubakiwe na kiswahili?
Au ndio tunasema lugha za kikabila zitahamasisha ukabila?
Wataalamu wa mambo mje hapa,
Maana naona tumegangamala mara sijui kiarabu, sijui kiingereza, sijui kichina sijui kifaransa lakini tunasahau vilivyovyetu.
Kama lugha zetu za kikabila zitaondoka na kufutika hii inamaanisha hata kiswahili chenyewe karne kadhaa zijazo hakitakuwepo. Kwa sababu kiswahili ni kibantu kwa 64% lakini kadiri siku ziendavyo ninauhakika hakitakuwa kibantu tena. Kwani kama kibantu kitakufa automatically kiswahili tulichonacho nacho kitakufa.
Itabaki kwenye Historia tuu.
Karibuni kwa mjadala
Ni lini lugha mama zetu, nazungumzia lugha zetu za kikabila zitaingizwa kwenye mitaala kama moja ya masomo ya lugha kama ilivyo kichina, kingereza, kiswahili, kiarabu.
Tunampango gani wa kuhifadhi lugha zetu za asili au elimu ya kigeni itafanikiwa kuzifuta Lugha zetu za asili kisha tubakiwe na kiswahili?
Au ndio tunasema lugha za kikabila zitahamasisha ukabila?
Wataalamu wa mambo mje hapa,
Maana naona tumegangamala mara sijui kiarabu, sijui kiingereza, sijui kichina sijui kifaransa lakini tunasahau vilivyovyetu.
Kama lugha zetu za kikabila zitaondoka na kufutika hii inamaanisha hata kiswahili chenyewe karne kadhaa zijazo hakitakuwepo. Kwa sababu kiswahili ni kibantu kwa 64% lakini kadiri siku ziendavyo ninauhakika hakitakuwa kibantu tena. Kwani kama kibantu kitakufa automatically kiswahili tulichonacho nacho kitakufa.
Itabaki kwenye Historia tuu.
Karibuni kwa mjadala