Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu

Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti.

Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kenehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa.

Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote yanayojiri sasa hivi. Tumefikikia kubishana kijinga kabisa, kuna watu wanabishana kuhusu biashara, hajawahi kyufanbya biashara toka kuzaliwa. Kuna watu wanabishana kuhusu bandari hajawahi kuiona hata bahari. Ni ujinga tu.

Kuanzia jana nimekaa natazama wanasheria weu wamakwenda baraza la usuluhushi la Kimataifa, mpaka kichefuchefu, mtu unajiuliza walienda kufanya nini kama siyo kuendelea kututia hasara?

Hivi walilazimishwa kuongea Kingereza? Si wangeomba watapta? Mpala nimeona kichefuchefu, hivi waziri aliyewapeleka hauoni huu utu mbi wanaoufanya huko? Dah! Inatisha.

Naamini kabisa kutoka ndani ya moyo wangu, hatuna adui umasikini, hatuna adui maradhi. Adui yetu ni mmoja tu, ujinga. Watanzania tu wajinga wa hali ya juu.

Ujinga unatufanya tuwe na maradhi, ujinga unatufanya tuwe masikini, ujinga unatufanya tuwe wezi, ujinga unatufanya tuwe na kila baya.

Tufanye nini kuondokana na adi ujinga?

Nasubiri majibu ya kijinga.
na wewe ni kilaza pia leo umegeuka heee
 
Sasa huo uliouandika kama si ujinga ni nini?

Nimefurahi kuwa hujaipinga hoja yangu, umeiona hoja lakini, au ndiyo ujinga umekujaa?
Boko Haram ilianzishwa ili
1. Kupinga elimu ya magharibi
2. Kufuata sharia (uislamu)
3. Watu wasome elimu ya dini tu.
Wameua watu, wamebaka, hakuna amani kwasababu ya udini (dini ya uislamu).
Al qaeda, Al Shabab, Boko Haram, Islamic State (Msumbiji). Vyote hivyo ni vikundi vya kiislam (dini) kinachoua watu ovyo.
Hapa hapa Tanzania wiki iliyopita walihukumiwa kwa kuwafundisha watu ugaidi katika msikiti wa Taqwa Mwanza. Wanataka kuanzisha dola ya kiislam. Ujinga sana.
Dini ni ujinga na unatakiwa upigwe vita haswaa kama vile ukabila
 
Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti.

Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kenehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa.

Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote yanayojiri sasa hivi. Tumefikikia kubishana kijinga kabisa, kuna watu wanabishana kuhusu biashara, hajawahi kyufanbya biashara toka kuzaliwa. Kuna watu wanabishana kuhusu bandari hajawahi kuiona hata bahari. Ni ujinga tu.


Tufanye nini kuondokana na adi ujinga?
Dada Faiza salaam!

Mada yako ni nzuri lakini nitaunga mkono andiko lako 50% tu......kwa nini?
Kwa sababu, wewe si unajua ujinga ni sera ya chama chako CCM? Tusizunguke mbuyu, mhusika na mtuhumiwa mkuu wa wa ujinga na upumbavu uliopo nchini ni mmoja tu - CCM.

Wao hawataki kuwapa watoto/watu elimu yenye maarifa; sera yao ni "mtu/mtoto ajue kusoma na kuandika" - na ndio maana Bunge letu na Halmashauri zimejaa wajinga na wapambuvu wanaojiita "viongozi". hayo mengine huwa ni mbwembwe na kupoteza muda wa watoto/vijana tu.
Nina taarifa za kuwepo kwa watoto waliomaliza darasa la saba na hata kidato cha nne wasiojua kusoma wala kuandika, yaani CCM wameendelea "kufanikiwa" zaidi!
Wingi wa shule au madarasa sio elimu. Schooling should never be confused with EDUCATION.

Na unafahamu nchi hii haijawahi kuwa na utawala tofauti na CCM.

Nakuomba uweke mbali itikadi na tofauti zetu kwa mustakabali wa vizazi vyetu na nchi yetu.
Tuungane kudai Katiba Mpya! Ili tuweze kujipanga upya na kusaidia watoto na wajukuu zetu.
 
Ilmu madrasa imetufikisha hapa na ujinga umetamalaki kuanzia magogoni kigoma mapka mchambawim
 
Dada Faiza salaam!

Mada yako ni nzuri lakini nitaunga mkono andiko lako 50% tu......kwa nini?
Kwa sababu, wewe si unajua ujinga ni sera ya chama chako CCM? Tusizunguke mbuyu, mhusuika na mtuhumiwa mkuuwa wa ujinga na upambuvu uliopo ni mmoja tu - CCM.

Wao hawataki kuwapa watoto/watu elimu yenye maarifa; sera yao ni "mtu/mtoto ajue kusoma na kuandika" - na ndio maana Bunge letu na Halmashauri zimejaa wajinga na wapambuvu wanaojiita "viongozi". hayo mengine huwa ni mbwembwe na kupoteza muda wa watoto/vijana tu. Ninataarifa za kuwepo kwa watoto waliomaliza darasa la saba na hata kidato cha nne wasiojua kusoma wala kuandika, yaani CCM wameendelea kufanikiwa zaidi!
Wingi wa shule au madarasa sio elimu. Schooling should never be confused with EDUCATION.

Na unafahamu nchi hii haijawahi kuwa na utawala tofauti na CCM.

Nakuomba uweke mbali itikadi na tofauti zetu kwa mustakabali wa vizazi vyetu na nchi yetu.
Tuungane kudai Katiba Mpya! Ili tuweze kujipanga upya na kusaidia watoto na wajukuu zetu.
big up bro wapige spana hawa sijui wamerogwa
 
Aloooooooo.
NI kweli ujinga ni tatizo kubwa lakini pia udini ni tatizo baya sana.
rejea katika mafundisho ya mtume muhammad (S.A.W)
 
Halafu wavivu watanzania awapendi details.

Yaani mtu ana conclude mambo kirahisi bila ya kutaka kuelewa background ya jambo husika in finer details.

Hata wakipewa story yote, mtu anasikiliza vitu nusu na kuweka interpretation zake contrary to the wholesome facts presented angepoteza muda wa kusikiliza kila kitu si ajabu hitimisho lake lingekuwa tofauti.

Just lazy people kwenye kupanda kujifunza.
 
Hakuna uwerevu wowote ule kama kuwaita wajukuu zako ni wajinga.
Hakuna maana yeyote ile kuwa na uerevu halafu ukashindwa kuanzisha shule za Uerevu kuondoa watoto wako na wajukuu wako kutoka kwenye Ujinga
Hakuna ujinga uliopitiliza kama ule wa binadamu kujidanganya kuwa yeye ndie mwerevu(huo ni ugonjwa) huo ndio unaoitwa Uwendawazimu.



Kuna ujinga unaotamalaki juu ya mada iliyopo.

Hainiingii akilini kufikiri kuwaita Jamii yangu;Wananchi- Wanangu, Wajukuu wangu ndugu zangu kuwa ni wajinga kila kukicha nikitegemea kuwa ndio nita wabadilisha akili kutoka kwenye Ujinga na kwenda kuwa na akili.

Wananchi wanahitaji elimu na sio kutukanwa kila kukicha. Hii hapa sio Elimu bali ni matusi dhidi ya Jamii ya Mwafrika na Mtanzania.
 
Back
Top Bottom