Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
mkuu pale nyumbani tuaanza na nani tena??
Tutaanza na Mkapa na kumalizia kwa Kikwete ili aende akawaambie wenzake huko Hell
mkuu pale nyumbani tuaanza na nani tena??
Siasa za majina ndio zinakufanya hata hapa JF ujulikane kwani baba yako asingekuwa mtu mzito hapa nani angekujua wewe kwanza usingiweza kufurukuta wala hata huko USA usingeenda tena unatakiwa uishukuru rushwa sana ndio iliyokufikisha hapo ulipo
Heshima mbele sana Great Thinkers:-
- Sio siri kwamba Tanzania, tunasumbuliwa sana na tatizo moja sugu kuliko yote nalo ni tatizo la Rushwa. Miaka nenda miaka rudi tunahangaika pale pale na infact ndio kwanza hili tatizo linazidi kushamiri, I mean how did we get here na hili tatizo?
- Nimesikia viongozi wengi tena kwa miaka mingi sana wakilia sana kuhusu rushwa, lakini sijawahi kusikia wakisema alternative ya rushwa ni nini hasa?
- Wa-Tanzania tufike mahali tujulize tulifikaje hapa na Rushwa, wapi tunakwenda nayo? na What is the alternative?
William @DSM City!
Hapo kwenye nyekundu kamuulize Mzee Malecela ni vipi waliianzisha rushwa na kuiacha mpaka imeota miziz, wakati anagombea Urais wa mwaka 2005 na kina Kikwete ni kiasi gani cha Rushwa alipokea na kukitoa ili ashinde uchaguzi wa Urais na akashindwa baada ya vijana kuchachamaa kumtaka Kikwete!
NA hapo kwenye red ya pili
Umesikia WAKILIA au WAKILA Rushwa including mdingi wako! acha KUTUYEYUSHA baada ya kushindwa kule ubunge Africa Mashariki ndio unaiona Rushwa sasa hivi.
hebu toa upp uuzi wako hapa! unatutia hasira na KODI ZETU
ndio sio kila mtanzania anaweza kwenda nje?- hapana mengine muwe mnafikiri japo kidogo sana, unasema rsuhwa ndiyo iliyonipeleka baharini? Halafu ikanipeleka us kwenda kazini kila siku saa nane za usiku na kazi za masaa 15 kila siku? Rushwa ndiyo niliyonipeleka kwenda us kufanya kazi tatu, masaa 18 kwa siku?
- i mean great thinker, nilifikiri huwa wanafikiri japo kidogo kabla ya kuandika sasa vipi hapa?
Willie!
Ziko best solutions mbili Willie:- Kulikuwa na results pale, Waziri Mkuu na mawaziri wanne walijiuzulu, ingawa haikuwa the best solution ya Rushwa!
Willie!
Mkuu naomba ututendee haki kwa jambo moja:
Wewe ni miongoni mwa wanasiasa walioshiriki katika kugombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki kupitia tiketi ya CCM. Kati huo uchaguzi kulikuwa na tetesi nyingi kwamba katika mchakato huo wagombea wengi kama siyo wote, hasa wale wa CCM, walitoa rushwa katika kila ngazi. Hapa nina maana ya wakati wa kura za wabunge wa CCM na wakati wa kura za wabunge wote kama mgombea alipita ile hatua ya kwanza. Je mkuu katika huo mchakato kuanzia kura za maoni (yaani ndani ya CCM) hadi kwenye uchaguzi wenyewe unaweza kulisemeaje suala la rushwa?
ndio sio kila mtanzania anaweza kwenda nje?
We uliambiwa na nani Anne ni mpiganaji? yule NI MLA RUSHWA NA MTOA RUSHWA NAMBARI MOJA, angalia gari analotembelea na madhahabu kocho kocho yalomjaa !
kwangu mimi mtoto wa nyoka ni nyoka bwana,hata ule ubunge umeugombea tu kirushwa rushwa,kama sio rushwa hukustahili hata kuchukua fomu.....- mkuu unajua niliendaje nje? Si ungeuliza basi maana kama nilienda kwa rushwa basi hii nchi haina rushwa, uliza basi kabla ya kukimbilia huku kwenye uwanja wa dunia!
Willie!
Ziko best solutions mbili Willie:
-Turudishe Azimio la Arusha na miiko/maadili yake ya UONGOZI;
-Ile sheria ya rushwa ya enzi za Mwalimu irudi kama ilivyokuwa. Yaani mtu kama Mzee Chenge angesimamishwa tu mahakamani akatueleza na kututhubitishia jinsi alivyoipata ile dola milioni kule Jersey, sio PCCB kutafuta ushahidi!
Kijana kama wewe kuendelea kuiunga mkono CCM hivi ilivyo sasa imenisikitisha sana.
kwangu mimi mtoto wa nyoka ni nyoka bwana,hata ule ubunge umeugombea tu kirushwa rushwa,kama sio rushwa hukustahili hata kuchukua fomu.....
- Fungua thread yake hii hahihusu kabisaa!
Willie!
Sio kosa lako Willie. Haukuishi "practically" ndani ya Azimio la Arusha. Umezaliwa ukakuta tayari maisha yameandaliwa. Enzi zile ungemfunga nani? Mawaziri wote walikuwa masikini kabisa na walifuatiliwa nyendo zao kwa karibu kabisa. Hakukuwa na uwekezaji kwenye SIASA. Tafuta ule mkanda wa Mwalimu pale Kilimanjaro Hoteli na waandishi wa habari mwaka 1995. Utajua Mwalimu alivyoidhibiti rushwa hasa kwa VIONGOZI.- Siuingi mkono kila kila kitu ndani ya CCM kama ambavyo siungi mkono kila kitu ndani ya Wapinzani, idea za kurudi kwenye Azimio la Arusha hayafai kwa sababu ni hayo hayo ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa vipi tena great thinker kulilia turudi tena kule kule, jamani ongeeeni progressive solutions sio mambo ya kurudi kwenye maazimio ya Arusha, yale yalishapitwa, tulishindwa nayo mwanzoni hatuwezi kuyaweza sasa,
- Unasema zamani tulikuwa na sheria ya rushwa, niambie iliwahi kumfunga waziri gani? au kiongozi gani wa juu Tanzania aliwahi kufungwa au kuachishwa kazi kwa sababu ya rushwa? please unaona sasa ndio maana hata taifa linakwisha na rushwa cause hata great thinkers hatuna solutions1
- I mean great thinker unasema solution ni kurudi kwenye maazimio ya Arusha, really? tulifkaje hapa sio ni hayo hayo maazimio nonsense, I mean twende kwa mbele sio kurudi kinyume nyume! azimio la Arusha halikuweza then, haliwezi hata sasa!
Willie!
Wewe umezaliwa ,umelelewa na umekuwa kwa rushwa
bado unaendeleza rushwa... Kumbuka juzi ulitoa rushwa source wewe mwenyewe
naona hii topic ni ngumu wewe kuizungumzia
ni sawa na kutoa kijiti kwenye jicho la mwenzako na wewe una borit
shikamoo kaka
Sio kosa lako Willie. Haukuishi "practically" ndani ya Azimio la Arusha. Umezaliwa ukakuta tayari maisha yameandaliwa. Enzi zile ungemfunga nani? Mawaziri wote walikuwa masikini kabisa na walifuatiliwa nyendo zao kwa karibu kabisa. Hakukuwa na uwekezaji kwenye SIASA. Tafuta ule mkanda wa Mwalimu pale Kilimanjaro Hoteli na waandishi wa habari mwaka 1995. Utajua Mwalimu alivyoidhibiti rushwa hasa kwa VIONGOZI.
Amiin nakwambia bila Azimio la Arusha kurudi rushwa is here to stay permanently!
Wanyongwe au wewe unasemaje....- Siasa za majina ndio zimelifikisha hili taifa hapa tulipo, sasa ungetegemea Great Thinker aonyeshee mfano wa kufikiria nje ya box la majina wapi, yale yale tu kelele as usual hakuna solution na kwenda kulala, mkuu ongea solution kwa ajili ya the future ya taifa!
Willie!