nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Alikuwa anapunguza big government.nyumba Za serikali kazi kutunza
Kazi kuzitunza? Mbona walijenga MPYA za MAWAZIRI na Manaibu Mawaziri? Alisign contracts na Makampuni ya DHAHABU sasa ina Maana bado kuziendesha hizo NYUMBA ilikuwa VIGUMU? Mbona wakati wa UTAWALA wa NYERERE pesa zilipatikana? Sababu Walikuwa Wanazi-Assign kwa Makampuni ya UMMA na Hayo Makampuni yaliwajibishwa kuzitunza hizo NYUMBA... Sasa kwanini walipeana??? Mama Mkapa anazo KIBAO...