MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Hawa ni marais kuanzia wa kwanza hadi wa sasa.
Nyerere alikuwa hana mchezo na wahujumu uchumi wa nchi híi, he was serious na alikuwa mkali sana, Mwinyi yeye ni ruksa tu, Mkapa dharau na kejeli kwa wenye mawazo mbadala, ndo chanzo cha ufisadi, Kikwete sasa ndo ameamua kuwakumbatia na amedhibitisha bungeni juzi kwa kuwabembeleza kama uncle zake.
Nalaani kitendo hicho.
Nawasilisha hoja
Nyerere alikuwa hana mchezo na wahujumu uchumi wa nchi híi, he was serious na alikuwa mkali sana, Mwinyi yeye ni ruksa tu, Mkapa dharau na kejeli kwa wenye mawazo mbadala, ndo chanzo cha ufisadi, Kikwete sasa ndo ameamua kuwakumbatia na amedhibitisha bungeni juzi kwa kuwabembeleza kama uncle zake.
Nalaani kitendo hicho.
Nawasilisha hoja