njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,400
- 5,577
Eti tu obey order za president obama... Hawa jamaa wanaishi karne ya ngapi... Ugomvi wao na Iran wa tanzania haihusu tuna uhusiano.mzuri wa kibalozi na inchi nyingi ikiwemo.maadui zao.. Tanzania haifungamani na upande wowote.. Obamas orders my foot